Funguka mwanamke unaempenda humu JamiiForums

Funguka mwanamke unaempenda humu JamiiForums

Nampenda Aysher [emoji39][emoji39][emoji85][emoji85]
 
ngumi zikianza mi lefa maana naona jinsia ya me ndo wengi sasa number itakapokuwa unbalance itabidi mpambano,mshindi ataondoka na wake,mshindwaji ataondoka na mche wa sabuni.... awe mwana CHAPUTA
it's just a joke
 
Nampenda sana huyu mwenye hii id "Aysher"

Nna sababu zaidi ya 99999.
 
Back
Top Bottom