Sawa wifi yangu nitafanya yote kabisaIli ukienda kusalamia usiabishe, si unaona Kiranga amesema usipopiga goti wata mind..
atoto asikutishe wifi mwaya,hamna noma wala nini we jitose tu. I promise U won't regret. 🙂
Hahahah!, unakimbia nini hebu rudi hapa nikupe vipande vyako. Eti kimboga, toka lini masamaki ya Li viktoria yakaotesha mboga?!, kaone kwanza..
Zinaota sana tu!!
Teh teh teeeeh!! Huu ukuwadi uliuanza lini we mwanamke!!
[emoji106] [emoji122] [emoji126]Sawa wifi yangu nitafanya yote kabisa
Preta njoo huku watafutwa [emoji3] [emoji3]Still reading poems
By Title siruhusiwi kumtafuta PretaPreta njoo huku watafutwa [emoji3] [emoji3]
Love you tooooooHeaven sent
Heaven Sent hivi umeolewa?? Naona unanishawishi kwa kweli. [emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji125][emoji125][emoji125][emoji125]Love you toooooo
[emoji3] [emoji3] l love youMimi je hakuna anayenipenda????
ndiyooooooooo[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji125] [emoji125]Heaven Sent hivi umeolewa?? Naona unanishawishi kwa kweli. [emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji125][emoji125][emoji125][emoji125]
Heaven Sent sawa bhana kama umeshaolewa. Hakuna shida. Mimi nilidhania upo free ili nianze kufanya michakato ya upembuzi yakinifu. [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji85] [emoji85] [emoji85]ndiyooooooooo[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji125] [emoji125]
Haha haya poleHeaven Sent sawa bhana kama umeshaolewa. Hakuna shida. Mimi nilidhania upo free ili nianze kufanya michakato ya upembuzi yakinifu. [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji85] [emoji85] [emoji85]
I hope sio maongezi ya ndoa, maana nishaolewa lol. Kama una kitu cha kuniambia, ni-pm tuHeaven Sent I'm sorry baaadae kdg njoo PM. Nina maongezi na wewe private. [emoji15][emoji15][emoji17][emoji17][emoji17]
HeheheKuna wanaume wenzetu wanatumia ID zenye majina ya kike humu na wao wanapendwa hahaha
Kumbe tayari? Kwa hiyo saivi fullu shangwe bila...za kulalia!! Mdogo wangu analia umemuacha.I hope sio maongezi ya ndoa, maana nishaolewa lol. Kama una kitu cha kuniambia, ni-pm tu
Aaah shem darling. .. hapa nilikuwa namaanisha "taken" na mdogo ako bana. Atanioa nani zaidi ya mdogo ako mie? [emoji125] [emoji125]Kumbe tayari? Kwa hiyo saivi fullu shangwe bila...za kulalia!! Mdogo wangu analia umemuacha.