Kwi kwi kwi kwi kwi...Utaweza kuishi kizungu [emoji38][emoji38]
Basi namwacha housegirl maana anapenda kuishi kizunguMmmh ote hapana siwezi kwa kweli
Ctajwi nataja....Unapitaaaaaaa........hukutajwa?!!
Humu Me anatakiwa amtaje ke anayemzimia sasa weweee??!!!!!Ctajwi nataja....
Under 16 hiyo ujue
NmekutajaHumu Me anatakiwa amtaje ke anayemzimia sasa weweee??!!!!!
Za 1+1=11?Mkuu usiwe na wasi wasi....nataka nimfundishe hisabati....si unajua kuwa ni ugonjwa wa taifa.....
Nimeamua kujitolea kwa huyu....
Ondoa shaka....
Ni mwanamke?Mi Nampenda vladimir fuschs
Mmmmmmmwaaaaaah![emoji11][emoji11][emoji11][emoji12][emoji7][emoji7]Nmekutaja
Toobaaaaaa!!!!!!dume huyo
Za 1+1=11?
[emoji14] [emoji14]Mmmmmmmwaaaaaah![emoji11][emoji11][emoji11][emoji12][emoji7][emoji7]