Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hivi ni mambo gani haya tunafanyiana lakini?Ila si unajua kama mi Nakupenda ehee?
Kuna watu fulani hivi humu hawazidi kumi nikikutana na mada kama hii naanza kuwaza atakua naniNatabiri ni dada mmoja ambaye ninampenda pia...
"Aliyetumwa Kutoka Mbinguni"
Huyo huyo uncle.. Umepatia sana..Mhhhh itakua huyu nayemuhisi
Jamani nakupenda pia, mtani wake eliNatabiri ni dada mmoja ambaye ninampenda pia...
"Aliyetumwa Kutoka Mbinguni"
[emoji85] [emoji85]Mhhhh itakua huyu nayemuhisi
hizo sifa za michelle mmmh. I appreciate though [emoji120] [emoji120]Kuna watu fulani hivi humu hawazidi kumi nikikutana na mada kama hii naanza kuwaza atakua nani
Nahakika atakua yule wa Mbinguni
hahhaa sasa mbona umeconclude kabisa, na wakati ulitakiwa tu kutabiri lolHuyo huyo uncle.. Umepatia sana..
Hahaha aah aggyjay buana, kiboko ya nini sasa uwiiimbona mi nshamjua...ni Heaven Sent kiboko yao..vigezo vyote hivo vyake but humpati ng'o kwa huo umume wa mtu.
Mmh I hope sio mie, kutamaniwa na mume wa mtu jamani MmhSiyo heaven sent kweli?
Katika hao men wanao realize when it's too late walitakiwa kumuweka keynote speaker Profesa Lipumbavu naye awepo.
Macho yako yana walakini hayo .... ng'oa chomeka mengine ..... hukioni kitu kilivyotulia hicho ....Mbona ni bibi kabisa.
Eti anaitwaga "Heaven Sent"Natabiri ni dada mmoja ambaye ninampenda pia...
"Aliyetumwa Kutoka Mbinguni"
Kashesho usingekuwa mchaga hapa ungejiokotea ndoa kwangu bila mashart yeyote..Mmmmmh!!!