Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hahahaha mie sio mchagaIntelijensia ilisha niambia taarifa zako nikakata tamaa! Kiukweli huwa nakupenda shida ni huo uchagga tu basi.
Hahaa najaribu kuimagine hiyo picha uliyonayoheheheh usishangae mama,nikiitazama Avatar yako,nikiifikiria ID yako halafu nikikuvutia picha kwamba unafananaje basiiii roho kwatu,nazidi kukupenda
Mtaje tukusaidie kumfungukiaKuna kabinti flan hv very amazing ni wife material kweli kweli ila kumuingia kwake sasa najikuta mara zote I'm lost of words sijui kwanini imekuwa kwake tu na In short namtaka aje kwa mda mrefu ili awe me wangu
Kuna kabinti flan hv very amazing ni wife material kweli kweli ila kumuingia kwake sasa najikuta mara zote I'm lost of words sijui kwanini imekuwa kwake tu na In short namtaka aje kwa mda mrefu ili awe me wangu
Kwa kweli hata me nakupendaga hivohivo kibishi japo hela mwapenda sanaPesa inatibu maumivu hata ukisaliti sintaumia kivile tyeeehe
Teh pesa tamu afu aiishi hamu[emoji12]Kwa kweli hata me nakupendaga hivohivo kibishi japo hela mwapenda sana
Ukisikia pesa anatafuta mke nistue.Teh pesa tamu afu aiishi hamu[emoji12]
Kabla sijakustua ntakua nshamuwahiUkisikia pesa anatafuta mke nistue.
Nalijua hilo, ila bado naomba unistue, then hayo mengine itakuwa story.Kabla sijakustua ntakua nshamuwahi
Si ndo mpaka nikukumbe sasa... Endelea kuomba tuNalijua hilo, ila bado naomba unistue, then hayo mengine itakuwa story.
Kuomba nini?Si ndo mpaka nikukumbe sasa... Endelea kuomba tu
Niweze kukukumbukaKuomba nini?
Kizuri kula na nduguyo acha roho mbayaNiweze kukukumbuka