Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nitaweza, tena utakuwa mpole kwa jinsi nitakavyo kuonyesha mahabaUtaweza? Mie mgomvi ujue ohooo asha ngedere anasubiri shauri yako
siwezi maana kila mtu ana criteria zakenichagulie mmoja basi, yan nashindwa nimtaje nan
huhuhu anayekupenda humpendi, kizungumkutiMi Nampenda vladimir fuschs
Teh....MAGAZIJUTOMkuu usiwe na wasi wasi....nataka nimfundishe hisabati....si unajua kuwa ni ugonjwa wa taifa.....
Nimeamua kujitolea kwa huyu....
Ondoa shaka....
Haha haha[emoji38] [emoji38] [emoji38]huhuhu anayekupenda humpendi, kizungumkuti
Mmmmh!!!!! Sio kweliNitaweza, tena utakuwa mpole kwa jinsi nitakavyo kuonyesha mahaba
Huu mchezo kweli hauhitaji hasira , hata ktk real life ni vivi hivi , anayekuhangaikia humtaki upo bize kuhangaikia mwingineHaha haha[emoji38] [emoji38] [emoji38]
Ndivyo ilivyo haaa haaaa na Huyo nnae mpenda hanipendihuhuhu anayekupenda humpendi, kizungumkuti
Huo ni uchochezi.Kama sijamtaja....naomba mnihakikishie usalama wangu kwanza.....
Kweli kabisaaaaHuu mchezo kweli hauhitaji hasira , hata ktk real life ni vivi hivi , anayekuhangaikia humtaki upo bize kuhangaikia mwingine
Wee kubali tuu! Maana mi napenda kufanya vitendo, kwa maneno hautonielewa [emoji12][emoji307][emoji307][emoji307]Mmmmh!!!!! Sio kweli
nisubiri...[emoji126][emoji126][emoji126]
Dah! Life is not fairNdivyo ilivyo haaa haaaa na Huyo nnae mpenda hanipendi
Mpaka namuota wakati hata sijawahi kumuona aiseeMimi Miss Natafuta
Ikija zamu yenu sijui nitatajwa na nani [emoji23]Kweli kabisaaaa
Nakupenda pia.....