Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
It'll be fine one day u know,?Dah! Life is not fair
Hahahahaha cheersWee kubali tuu! Maana mi napenda kufanya vitendo, kwa maneno hautonielewa [emoji12][emoji307][emoji307][emoji307]
Mi ntakutaja [emoji3] [emoji3]Ikija zamu yenu sijui nitatajwa na nani [emoji23]
Mmmwaaaaaah?[emoji177][emoji178][emoji180]Hahahahaha cheers
naona unasubiria meli airport mkuuNampenda sana missnatafuta aje tujenge familia ya watoto 6 tu kwa serikali ya hapa kazi tu mtaji was watoto sita tosha kabisa
Ndivyo ilivyo haaa haaaa na Huyo nnae mpenda hanipendi
ahahaa hane ila uache dharau yaani kuna jamaa hapa ofsini anaitwa hance anaringa yaani nikikuona humu kama namuona hivimm nawapenda hawa
1:rubii
2:miss natafuta
3:kasinde au kasie
4:feitty
Weekend njemaMmmwaaaaaah?[emoji177][emoji178][emoji180]
Mimi "NIMPENDE NANI"
Nawe pia[emoji182][emoji173]Weekend njema
yaani mpaka umejijibu mwenyewe kweli unaniota!!!!!!!!! naona unasubiri meli airport na wewe mkuuMpaka namuota wakati hata sijawahi kumuona aisee
tell them man! say ma name say ma name!!!!! am just singing????????Niwataje wote?
Hamuwezi kuwataja, mtabaki kucheka na kushangaaNa wadada mtuekee uzi wetu sasa na ss tuonyeshe tuwapendao
tell them man! say ma name say ma name!!!!! am just singing????????
leo hunitaki eeeh ayaAh we toka hapa...sikutaki kabisa wewe.
Toka toka toka usinijazie nzi hapa.
Toka na mi-nzi yako ya kijani kabla sijakupulizia Rungu.
Chagua mmoja mkuu au dini inaruhusumm nawapenda hawa
1:rubii
2:miss natafuta
3:kasinde au kasie
4:feitty
Haha subiri uzi uje, utamuona tu atakayekutajaIkija zamu yenu sijui nitatajwa na nani [emoji23]