Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
umeelewa vibaya soma tena!,ila kukurahisishia ni kwa wanaume kutaja mademu wanaowahusuduMimi cjaelewa huu Uzi......kichwa cha mada kinasema funguka mwanamke but nashangaa naona comments za vidume....
Swali kwa mleta mada
Huu uzi ni wa wote yaani wanaume na wanawake?
DaimaaaaaaaAsanteee piaaaa tudumishe amri ya mapendoooo
Jamani ndaga fijo, nakupenda piaMimi nampenda Heaven Sent
Nibakshieni.... Maana haya majina ya humu... [emoji87][emoji87]... Unaweza.. Dhania ni KE kumbe ME.... Mambo ya kuanza kuomba poo me siwezi.....
Aisee wengine tukaoge maji ya magadi ,yaani katika mamima ya watu usipate hata mmja wa kukupenda uwiiiiii
Huo ni upendo tu wa Kristo jamani
shukran mkuu...........umeelewa vibaya soma tena!,ila kukurahisishia ni kwa wanaume kutaja mademu wanaowahusudu
wow ahsante, love you tooMkuu, huko ni kupenda kweli au kutamani? Mtu hamfahamiani, hamjaonana mmhh!! Namhusudu Kasie na Heaven Sent hawa kwangu ni kama maziwa na tui la nazi
Hivi ndaga fijo ina maana gani?Nimekuwa nikiliona hili neno sana.Jamani ndaga fijo, nakupenda pia
Mimi ni mutoto ya Arusha mkuu.Nifah hivi we ni kabila la kule tanga???mbona unapendwa hivi
Nashukuru sana, sijui ndio hivyoHivi ndaga fijo ina maana gani?Nimekuwa nikiliona hili neno sana.
[emoji23][emoji23][emoji23] nafikiri pia.Nashukuru sana, sijui ndio hivyo
[emoji100] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125]
Hahahaaaa!! Ndaga fijo pia, inabidi nitafute mume mnyakyusa[emoji125] [emoji125][emoji23][emoji23][emoji23] nafikiri pia.
Ndaga fijo atoto [emoji4]