enka mbe
Senior Member
- Sep 3, 2016
- 165
- 113
[emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] we umependwa tulia. sasa was was wa nn tenaMi mpaka nione japo kapicha,maa hii j.f unaweza ukapenda hewa bure...ukapata hasara!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] we umependwa tulia. sasa was was wa nn tenaMi mpaka nione japo kapicha,maa hii j.f unaweza ukapenda hewa bure...ukapata hasara!
christine ibrahim atapiga sala kabla ya kumnanihii, hanaga utani na injili..[emoji85] [emoji12]
[emoji23] [emoji23] [emoji23] !......Acha wivu,wewe nilikushika ukakataa kushikamana,what should i do?
OMG!OMG!OMG!
Jua tu nimeshtuka sana kuona ulichokisema hapa...
Nashindwa nielezee vipi hasa.
Thank you [emoji7]
Mimi ni mutoto ya Arusha mkuu.
Alhamdulillah,kupendwa ni jambo la kheri.
Haahaha is it coincidence??? Nimesomea Arusha for 6 years, 1-4 pale kilala unapanda juu utakua unaijua hio shule, then nikajiunga high school Ilboru... Si mchezo!! But mimi ni chapa ng'ombe.
Anacho nifanya niweke pigamizi mahakamani ni kuwa jamaa ni kada la ccm! Buku 7 Fc!!
Unaweza badilisha dini ila siyo chama aisee tena cha ccm
[emoji39][emoji39][emoji126][emoji126][emoji126]
Chapa ya ng'ombe ukimaanisha msukuma?
Yani mimi hata nikisema bado hakuna msaadaHaya wale universal lovers njooni tukutane hapa....Unspecified love...we love beyond the horizon, at most unconditionally!
Ukisema bado nini?Yani mimi hata nikisema bado hakuna msaada
kuelewekaUkisema bado nini?
Yaani wenzako ni mithili ya alivyokuwa bibi Kidude ila kwa kuwa wanatumia Id fake wanaweka picha za kina Kadashian, na za ma actress wa Bollywood ndio maana wanaeleweka....wanatumia majina na picha ambazo ME akiziona lazima avimbishe,....wewe hujaweka chochote hata jinsia yenyewe, bado unataka kueleweka? ebu wacha kupima imani za watu...hujui kwamba kuna KE wenye ID za kiume wanazozitumia kujipa promo wenyewe?...BTW kama unajikubali mwenyewe inatosha! hakuna haja ya kutafuta approval za watu msiojuwana!kueleweka
Haha budaaa umefungukaYaani wenzako ni mithili ya alivyokuwa bibi Kidude ila kwa kuwa wanatumia Id fake wanaweka picha za kina Kadashian, na za ma actress wa Bollywood ndio maana wanaeleweka....wanatumia majina na picha ambazo ME akiziona lazima avimbishe,....wewe hujaweka chochote hata jinsia yenyewe, bado unataka kueleweka? ebu wacha kupima imani za watu...hujui kwamba kuna KE wenye ID za kiume wanazozitumia kujipa promo wenyewe?...BTW kama unajikubali mwenyewe inatosha! hakuna haja ya kutafuta approval za watu msiojuwana!
Ahsante sana, tunakupenda piaHongera sana kwa Heaven Sent, Nifah na Atoto, mnapendwa sana, kwahiyo hata mimi nawapenda
Yaani wenzako ni mithili ya alivyokuwa bibi Kidude ila kwa kuwa wanatumia Id fake wanaweka picha za kina Kadashian, na za ma actress wa Bollywood ndio maana wanaeleweka....wanatumia majina na picha ambazo ME akiziona lazima avimbishe,....wewe hujaweka chochote hata jinsia yenyewe, bado unataka kueleweka? ebu wacha kupima imani za watu...hujui kwamba kuna KE wenye ID za kiume wanazozitumia kujipa promo wenyewe?...BTW kama unajikubali mwenyewe inatosha! hakuna haja ya kutafuta approval za watu msiojuwana!