Heaven Sent
JF-Expert Member
- Sep 27, 2013
- 32,682
- 98,253
Hahaha afu kila siku tulikuwa tunahisi tuna connection somehow, ila hatukuwa tunaelewa, kumbe mweeee, Mungu ni wa ajabu khaa. Sitaki kucheka na story za primary lolAh ah ah huyo ni rafiki yangu wa muda toka primary.
Benchi moja tulipotezana tumekuja kumeet Jf bila kujua na kila siku tulikua tunachat bila kujuana
Kuna siku moja ndio tukaja kufahamu kuwa tunafahamiana
Nyuz za mshana zilituunganisha kwa Neema ya Mungu