pilato93
JF-Expert Member
- Jun 28, 2014
- 6,296
- 6,692
mkuu ushawai kukutana na shemale live akiwa uch...... wewe alafu anataka umkaze weweMimi nalipenda shemale fulani hivi amazing ambalo linaitwa Evelyn Salt![emoji39]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
mkuu ushawai kukutana na shemale live akiwa uch...... wewe alafu anataka umkaze weweMimi nalipenda shemale fulani hivi amazing ambalo linaitwa Evelyn Salt![emoji39]
Namie kidogo nisiende ila nikamshinda shetani aise...
Uende mwaya usijekua kama huyu Nyani NgabuHongera mwaya, ntajitahidi next time.
Uende mwaya usijekua kama huyu Nyani Ngabu
Hawa ni kuwapeleka kwa fimbo tuHaha, huyu na yule mwenzake hawatathubutu.
Nimemuombea kisura tu.... Wewe utajijuUmeniombea wewe leo?
Kisura naye anauliza kama umemwombea..
Haya wifi[emoji4]Taratibu wifi usije waudhi tu..
Haya wifi[emoji4]
Mmh sio hawa labda wa kule kijijini[emoji85]Au labda wewe watakusikiliza, manake wakidondokea mtu si rahisi kunyanyuka. 🙂
Mmh sio hawa labda wa kule kijijini[emoji85]
watakupa presha mkuu ufe mapemaHao wanaopenda chapaa niachie mm
Afadhali hata Kiranga naweza mbembeleza akaenda kanisaniHahaha, kwa nini Vale, kwani si wote wasukuma lakini...lol
Mimi siendi kanisani, kwanza imeandikwa mwili wangu ni kanisa la Roho Mtakatifu. Kwa hiyo popote nilipo nipo kanisani.Afadhali hata Kiranga naweza mbembeleza akaenda kanisani
Ila huyu Nyani Ngabu mcharuko stage2 haendi
Afadhali hata wewe unajua maandiko kabisa... So kazi haitakua ngumu sana teh... Njoo chumbani tubembelezaneMimi siendi kanisani, kwanza imeandikwa mwili wangu ni kanisa la Roho Mtakatifu. Kwa hiyo popote nilipo nipo kanisani.
1 Corinthians 6:19
Do you not know that your bodies are temples of the Holy Spirit, who is in you, whom you have received from God? You are not your own;
Mimi siyajui maandiko, maandiko yananijua mimi.Afadhali hata wewe unajua maandiko kabisa... So kazi haitakua ngumu sana teh... Njoo chumbani tubembelezane
Ee sawa baba kweli maandiko yanakujua sana,hivyo hivyo tutafika tu mdogo mdogo....Mimi siyajui maandiko, maandiko yananijua mimi.