Funguka: Tangu uanze kutongoza/kutongozwa hapa JF, umefanikiwa mara ngapi?

Funguka: Tangu uanze kutongoza/kutongozwa hapa JF, umefanikiwa mara ngapi?

Duh..kumbe humu watu wanadandiana nilikua sijui kwani sijawahi tongoza hata mmoja
 
Duh! Ngoja nianze na Mimi nione kama nitampata yule ninayemuwazia.
 
Binafsi mimi ni simba mwenda pole, kitoweo changu huwa napata bila jasho kabisa. Mara kadhaa nimetongoza na kuwa champion zaidi ya 78-84% nimefanikiwa. Na kati ya hizo ni kama 30% nilikuwa serious but huwa natongoza wanawake maarufu wa hapa jf cha kushangaza unapokutana nao siyo maarufu ni wakawaida sana.

Mara nyingi nimejikuta tunaishia hewana wachache sana wakiniona huwa suprized walitegemea jamaa moja fulani hunihuni hivi, kumbe kimbaombao fulani but with powerful mind.

Mwenzangu funguka na wewe..!
ndugu mimi nimetongoza mala.34 lakin cjafanikiwa
 
Wamekusikia mkuu wenye ujumbe wao me ndio mana mambo hizi naogopa sana yaan acha tuendelee kuwa waoga tu mtu anataka kukujua ili akuchunguze ulivyo akuje kukubandika bango ndio mana hata pm tumefunga kuogopa hizi mambo
 
Mi sijawahi tongoza wala siitaji mtu pm(demu) aje kunitongoza. Sababu mimi siamini katika kutongozana mapenzi huwa yanakuja automatically due to the same feelings.

Yani huja yenyewe kama wawili hisia zao zikiwa pamoja. Mimi nakupenda nawewe unanipenda sio mimi nimekupenda ndo niku-convet nawewe unipende kama navyokupenda mimi hiyo kwangu si sawa hata kidogo.
 
Wamekusikia mkuu wenye ujumbe wao me ndio mana mambo hizi naogopa sana yaan acha tuendelee kuwa waoga tu mtu anataka kukujua ili akuchunguze ulivyo akuje kukubandika bango ndio mana hata pm tumefunga kuogopa hizi mambo
Unafunga pm sababu unaficha privacy zako jambo zuri mkuu. kwa mtu maarufu kama wewe hakuna cha ajabu sababu ni nadra sana kwenye mitandao yakijamii(fb,ig,twit,snap) kukuta mtu maarufu akijibu comments. Over
 
Wamekusikia mkuu wenye ujumbe wao me ndio mana mambo hizi naogopa sana yaan acha tuendelee kuwa waoga tu mtu anataka kukujua ili akuchunguze ulivyo akuje kukubandika bango ndio mana hata pm tumefunga kuogopa hizi mambo
Hata Yule ulimfungia pm pia au?
 
Wamekusikia mkuu wenye ujumbe wao me ndio mana mambo hizi naogopa sana yaan acha tuendelee kuwa waoga tu mtu anataka kukujua ili akuchunguze ulivyo akuje kukubandika bango ndio mana hata pm tumefunga kuogopa hizi mambo
Huhuhu..! Ametajwa nani humu???
 
Back
Top Bottom