Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
huu mjadala wa chadema mwanzo tu unajihami kwa wana ccm badala ya wanachadema asilia. nyie nyumbu wa edo wacheni dhuluma. mwisho wenu sio mwema mtaishia kama maalim seif kwa wizi wa chama.Haya,lumumba mko kazini!
Kachukue buku 7
Hata Lowasa kuingia chadema ilianza kama fununu mkuu na sasa ndio hivyo tena!!!Fununu?!!!!!! Kwa akili hizi acha tu tuendelee kuwa masikini
Umenikumbusha mzee Mapalala!!huu mjadala wa chadema mwanzo tu unajihami kwa wana ccm badala ya wanachadema asilia. nyie nyumbu wa edo wacheni dhuluma. mwisho wenu sio mwema mtaishia kama maalim seif kwa wizi wa chama.
Haya ni maoni unapendekeza au ni tetesi nduguKuna tetesi kuwa Mbowe hatagombea tena uenyekiti chadema na badala yake anaandaliwa kuwa Katibu Mkuu na nafasi ya Mwenyekiti anapendekezwa mzee Lowasa kama kura zitatosha. Ktk kutimiza miaka 25 tangu kuasisiwa kwake, Chadema inataka kumpa hadhi Mwenyekiti wake na kwamba asitokane na wabunge. Wanadai kitendo cha Mwenyekiti wa chama kuwa mbunge kinamshusha hadhi hasa anapolinganishwa na Mwenyekiti wa CCM ambaye kwa utamaduni wa chama hicho ndiye Rais wa nchi. Wanadai zaidi kwamba Mwenyekiti ambaye pia ni KUB anawapa ukakasi wabunge wa vyama shirika vya Ukawa kwani ni vigumu kutofautisha wakati gani anafanya maamuzi kama Kub na wakati gani anakuwa Mwenyekiti wa chama. Inasemekana hata ukiangalia kwa jicho la tatu tayari Lowasa anatimiza majukumu yake kama Mwenyekiti mtarajiwa na Mbowe kama Katibu Mkuu ndiyo maana Dr Mashinji amepotezwa katika ramani. Nini mawazo yako mdau?!! Karibu na ahsante!
Mtafute Tundu Lissu aliyetuandalia ile List ya MAFISADI Tanzania na akamuweka LOWASA wa kwanza.Una ushahidi kuwa Lowassa ni fisadi? Tukumbushe walau kesi moja tu ya ufisadi aliyowahi kushtakiwa dhidi yake kwa ufisadi.
Sent using Jamii Forums mobile app
Ninachoshukuru wote sio wa kanda moja, ila yule jamaa wa kanda ya kati mwanasheria nguli Afrika sijui atakubali?Kuna tetesi kuwa Mbowe hatagombea tena uenyekiti chadema na badala yake anaandaliwa kuwa Katibu Mkuu na nafasi ya Mwenyekiti anapendekezwa mzee Lowasa kama kura zitatosha. Ktk kutimiza miaka 25 tangu kuasisiwa kwake, Chadema inataka kumpa hadhi Mwenyekiti wake na kwamba asitokane na wabunge. Wanadai kitendo cha Mwenyekiti wa chama kuwa mbunge kinamshusha hadhi hasa anapolinganishwa na Mwenyekiti wa CCM ambaye kwa utamaduni wa chama hicho ndiye Rais wa nchi. Wanadai zaidi kwamba Mwenyekiti ambaye pia ni KUB anawapa ukakasi wabunge wa vyama shirika vya Ukawa kwani ni vigumu kutofautisha wakati gani anafanya maamuzi kama Kub na wakati gani anakuwa Mwenyekiti wa chama. Inasemekana hata ukiangalia kwa jicho la tatu tayari Lowasa anatimiza majukumu yake kama Mwenyekiti mtarajiwa na Mbowe kama Katibu Mkuu ndiyo maana Dr Mashinji amepotezwa katika ramani. Nini mawazo yako mdau?!! Karibu na ahsante!