Tetesi: Fununu: Lowassa kugombea uenyekiti chadema Mbowe kuwa Katibu Mkuu

Tetesi: Fununu: Lowassa kugombea uenyekiti chadema Mbowe kuwa Katibu Mkuu

huu mjadala wa chadema mwanzo tu unajihami kwa wana ccm badala ya wanachadema asilia. nyie nyumbu wa edo wacheni dhuluma. mwisho wenu sio mwema mtaishia kama maalim seif kwa wizi wa chama.
Umenikumbusha mzee Mapalala!!
 
Kwa hili bora zibaki kuwa fununu. Chama kitapoa sana. Kumbuka Chadema ndo sehemu ya kupumlia pale ccm inapokologana.
Wasiuwe chama kwa sitaili hiyo. Mara mia wamupatie Prof Safafri
 
kama huna habari ya kupost si hata uposti za uchaguzi wa kenya, leo hulipwi
 
Ikimpasa Mbowe kuachia uenyekiti ni sawa tu demokrasia iliyokomaa acha apumzike apambane bungeni....chama amuachie EL.....Mzee mwenye busara tele na mwingi wa hekima
 
Kuna tetesi kuwa Mbowe hatagombea tena uenyekiti chadema na badala yake anaandaliwa kuwa Katibu Mkuu na nafasi ya Mwenyekiti anapendekezwa mzee Lowasa kama kura zitatosha. Ktk kutimiza miaka 25 tangu kuasisiwa kwake, Chadema inataka kumpa hadhi Mwenyekiti wake na kwamba asitokane na wabunge. Wanadai kitendo cha Mwenyekiti wa chama kuwa mbunge kinamshusha hadhi hasa anapolinganishwa na Mwenyekiti wa CCM ambaye kwa utamaduni wa chama hicho ndiye Rais wa nchi. Wanadai zaidi kwamba Mwenyekiti ambaye pia ni KUB anawapa ukakasi wabunge wa vyama shirika vya Ukawa kwani ni vigumu kutofautisha wakati gani anafanya maamuzi kama Kub na wakati gani anakuwa Mwenyekiti wa chama. Inasemekana hata ukiangalia kwa jicho la tatu tayari Lowasa anatimiza majukumu yake kama Mwenyekiti mtarajiwa na Mbowe kama Katibu Mkuu ndiyo maana Dr Mashinji amepotezwa katika ramani. Nini mawazo yako mdau?!! Karibu na ahsante!
Haya ni maoni unapendekeza au ni tetesi ndugu
 
Kuna tetesi kuwa Mbowe hatagombea tena uenyekiti chadema na badala yake anaandaliwa kuwa Katibu Mkuu na nafasi ya Mwenyekiti anapendekezwa mzee Lowasa kama kura zitatosha. Ktk kutimiza miaka 25 tangu kuasisiwa kwake, Chadema inataka kumpa hadhi Mwenyekiti wake na kwamba asitokane na wabunge. Wanadai kitendo cha Mwenyekiti wa chama kuwa mbunge kinamshusha hadhi hasa anapolinganishwa na Mwenyekiti wa CCM ambaye kwa utamaduni wa chama hicho ndiye Rais wa nchi. Wanadai zaidi kwamba Mwenyekiti ambaye pia ni KUB anawapa ukakasi wabunge wa vyama shirika vya Ukawa kwani ni vigumu kutofautisha wakati gani anafanya maamuzi kama Kub na wakati gani anakuwa Mwenyekiti wa chama. Inasemekana hata ukiangalia kwa jicho la tatu tayari Lowasa anatimiza majukumu yake kama Mwenyekiti mtarajiwa na Mbowe kama Katibu Mkuu ndiyo maana Dr Mashinji amepotezwa katika ramani. Nini mawazo yako mdau?!! Karibu na ahsante!
Ninachoshukuru wote sio wa kanda moja, ila yule jamaa wa kanda ya kati mwanasheria nguli Afrika sijui atakubali?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom