D Metakelfin
JF-Expert Member
- Mar 23, 2017
- 3,399
- 3,666
kiukweli chadema wasipokuwa makini wanapotea
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kumbe bado wanaiga ya CCM,Chadema bye bye.mwenyekiti wa Chadema kamwe hatakuwa na hadhi ya raisi wa JMT ,labda atakuwa na hadhi ya raisi wa TLS au SACCOS nyingine kama UKAWAKuna tetesi kuwa Mbowe hatagombea tena uenyekiti chadema na badala yake anaandaliwa kuwa Katibu Mkuu na nafasi ya Mwenyekiti anapendekezwa mzee Lowasa kama kura zitatosha. Ktk kutimiza miaka 25 tangu kuasisiwa kwake, Chadema inataka kumpa hadhi Mwenyekiti wake na kwamba asitokane na wabunge. Wanadai kitendo cha Mwenyekiti wa chama kuwa mbunge kinamshusha hadhi hasa anapolinganishwa na Mwenyekiti wa CCM ambaye kwa utamaduni wa chama hicho ndiye Rais wa nchi. Wanadai zaidi kwamba Mwenyekiti ambaye pia ni KUB anawapa ukakasi wabunge wa vyama shirika vya Ukawa kwani ni vigumu kutofautisha wakati gani anafanya maamuzi kama Kub na wakati gani anakuwa Mwenyekiti wa chama. Inasemekana hata ukiangalia kwa jicho la tatu tayari Lowasa anatimiza majukumu yake kama Mwenyekiti mtarajiwa na Mbowe kama Katibu Mkuu ndiyo maana Dr Mashinji amepotezwa katika ramani. Nini mawazo yako mdau?!! Karibu na ahsante!
I can't see the reality, and if this gossiping will come true, therefore, CDM will also make a second poorly decision. Nevertheless, up to this moment, the gape that was left by Dr. Slaa hasn't been field yet. We are still seeing how strong the former GS was, compared to the present one. Finally, even if Mbowe lack some strategically leadership skills as we know him, but let him continue to lead CDM, otherwise watayumba sana. I have my own reasons for this, but for today, I will not spell them out here.Kuna tetesi kuwa Mbowe hatagombea tena uenyekiti chadema na badala yake anaandaliwa kuwa Katibu Mkuu na nafasi ya Mwenyekiti anapendekezwa mzee Lowasa kama kura zitatosha. Ktk kutimiza miaka 25 tangu kuasisiwa kwake, Chadema inataka kumpa hadhi Mwenyekiti wake na kwamba asitokane na wabunge. Wanadai kitendo cha Mwenyekiti wa chama kuwa mbunge kinamshusha hadhi hasa anapolinganishwa na Mwenyekiti wa CCM ambaye kwa utamaduni wa chama hicho ndiye Rais wa nchi. Wanadai zaidi kwamba Mwenyekiti ambaye pia ni KUB anawapa ukakasi wabunge wa vyama shirika vya Ukawa kwani ni vigumu kutofautisha wakati gani anafanya maamuzi kama Kub na wakati gani anakuwa Mwenyekiti wa chama. Inasemekana hata ukiangalia kwa jicho la tatu tayari Lowasa anatimiza majukumu yake kama Mwenyekiti mtarajiwa na Mbowe kama Katibu Mkuu ndiyo maana Dr Mashinji amepotezwa katika ramani. Nini mawazo yako mdau?!! Karibu na ahsante!
yes maalim seif baada ya kukaribishwa cuf akamtosa mnyamwezi mapalala mwenye chama. leo katoswa na mnyamwezi lipumba aliyemkaribisha. mungu si athumani kumchezea.Umenikumbusha mzee Mapalala!!
Mashinji ndio katibu kivuli alieshindwa kuvaa viatu vya dk Slaa ama Lowassa ni yule waziri mkuu aliejiuzuru baada kukumbwa na tuhuma za ufisadi ktk utawala wa Jk. Haya tushaanza
Jiandae tu kurudisha hamna namnaIkitokea hivo narudisha kadi mapema tu,
Maswali memgine bhana yaani leo kunatokea mtanzania mwenye wasiwasi juu ya ufisadi wa Lowassa!Una ushahidi kuwa Lowassa ni fisadi? Tukumbushe walau kesi moja tu ya ufisadi aliyowahi kushtakiwa dhidi yake kwa ufisadi.
Sent using Jamii Forums mobile app
Swadakita mkuu na tukaambiwa watuchukuwi makapi. Baadae makapi yakapewa nafasi ya kugombea unyerere na sasa mjumbe mwenye mvuto ktk halimashauri kuu chademaHata Lowasa kuingia chadema ilianza kama fununu mkuu na sasa ndio hivyo tena!!!
Na anaelekea kuwa Mwenyekiti wa Chadema Taifa!Swadakita mkuu na tukaambiwa watuchukuwi makapi. Baadae makapi yakapewa nafasi ya kugombea unyerere na sasa mjumbe mwenye mvuto ktk halimashauri kuu chadema
Sent using Jamii Forums mobile app
Mbona mafisadi wako keko?!!Maswali memgine bhana yaani leo kunatokea mtanzania mwenye wasiwasi juu ya ufisadi wa Lowassa!
Maajabu haya
Sent using Jamii Forums mobile app