Funzo alilotuachia Grace Mushi wa Makabe

Ordinary men ndio haohao shouting, kwa mdomo ulionao utamegwa utaachwa sn, tuliza kipochi manyoya hicho.

Sent from my Infinix X683 using JamiiForums mobile app
 
Huyoo mumee falaa unatom a....MARAFIKI wa gfrien d wako huna adabu imekuwa chaki
 
Uyo Grace ni mpuuzi sana. Na wewe mleta mada unahalalisha kabisa eti mwamaba kapata alichostahili, mtu amuue mwenzie then uchekelee uyo bidada nae apate adhabu anayostahili mpuuzi kabisa.

Kwani kupendwa ni lazima, eti amewekeza kawekeza nini?? Nyapu au ?? Grace angekua karibu adhabu ningempa mi mwenyew kwa ujinga alioufanya.
Mungu atunusuru wanaume kwakweli tusioe mijitu yenye roho ya kishetani kama grace mpuuzi mmoja.
 
HII FAMIILA YAOINAONEKANA VIBOR...SHUTA SANA WAWE NA ADBU NA MIOYO YA DADA ZETU WENGINE UJINGA HATUTAKI.ONA SASA WANAZIKA MKAAA
 
Mbili ni nyingi,atoe moja tu kana ataweza,maana anaenda kunyongwa

Sent from my SM-N960F using JamiiForums mobile app
ANYONGWI WEWE HUYU AKIWA NA WAKILI MZURI AMEKAA SANA MIAKA MITATU

KINGINE WAKAMPIMEHUU UKOO UMRKUWA NA SHIDA ZA VICHAA SANA KAMA WAKIMKUTA MTAMBOOO SHUHULI

UNAJUA WANAUME MNAKIMBILIA TU UCHI KUNA UKOOO UNA NYOTA ZA

UMALAYA
WIZI
UTAPELI
UFUR...
UCHIZI
UONGO
NA I ZINGINEZO
MSIPOCHUNGUZA MTALIA MZIGO USHATINGA NDAN
 
Yes mkuu, huyu anakula mvua chache kwa mazingira ya kesi yenyewe. Na atatakiwa kupatiwa sana msaada wa kisaikolojia maana
 
Kama mtu haeleweki achana nae
Haya mambo ya kulazimishana mapenzi hadi kufikia kuuana ni ya kishamba na kishetani

Mungu atupe macho na masikio ya ndani kuelewa sehemu zisizotufaa
Mama D !!Yaan huwa nazikubali sana comments zako.Hao ni mashetani.
 
Yes mkuu, huyu anakula mvua chache kwa mazingira ya kesi yenyewe. Na atatakiwa kupatiwa sana msaada wa kisaikolojia maana
SANAA lazima asaidiwe
1)anwaza anapatawapi hela ya kupanga
2) majirani wataampokeaje
3) akitoka KILEKIWANJA Cha urithi kitakuwrpobadooyaan
 
Mkuu hawa watu wako kimipango zaidi. Wanajua jamii yao haikubaliki ndomaana unapewa hizo unazoziita "zawadi" hapo anakuset ukae kwenye lensi mbinuko. Hizo "zawadi" mwenzako anajua atazitudishaje hapo baadae (hakuna cha bure dunia hii).

Mi kuna rafikiangu yy ni mchaga pyua lakin aliwahi kunitamkia hawezi kuthubutu kuoa huko kwao.

ila nachowapendea jamaa wanajitambua mapema sana na wako focused sana kwenye maisha ukilinganisha na jamii zingine na hawaendi kwa hasara.
 
SANAA lazima asaidiwe
1)anwaza anapatawapi hela ya kupanga
2) majirani wataampokeaje
3) akitoka KILEKIWANJA Cha urithi kitakuwrpobadooyaan
Uko sahihi kabisa. Sijui kwanini vijana wa siku hizi wengi wamekua wa ajabu hivi. Wengi wanamnanga zungu na kumponda neema ila hapa wengi wanalelewa hawasemi hilo. Itawagharimu sana hii. Mtu anawekeza kwako akili, upendo, muda, uchumi, afya, etc then utegemee wote watakua wapole tuu wamuachie Mungu? Hapana
 
MSIHUZUNKE SANA HUYU BWANA KAMA.ASINGECHOMWA MOTO KWA KABILA HILI LA.WAMACHAME ANGECHEZEA VISU VYA KUTOSHAA MBELE YA SAFARI

WAMACHAME WANA WIVU SANA
WAKIKUKOSA HUKOOO OLEEE OLEE OLEWAKOOOO UZIKAMATEE HELAA
YAANI WANAKUMALIZA.MAKAVUU BILA CNDM..HAWA KUKUWEKEA SUMU.UENDE NIACHIE MALI DK SIFURI

SO MSIHUZUNKE SANA AMEPUMZIKA ALIPOSTAHILI ANGEPONA NA HILI VISU VINGEMHUSU SANA HUMO NDAN KWAKR

RIP ZUNGU
 
Mimi sijapenda adhabu ya zungu kwa kweli. Japo ni funzo kubwa sana tumepata. Ila huo ujasiri wa neema unaogopesha sana. Unatishaaaaa....
 
Yaan kuna watu wana hasira na watu wasiowahusu hata kdg. Na hapo dada zake kibao wanamegwa wanaachwa. Na kaona ndo dili sana ama? Wooiii, tutaendelea kuwakaanga
Woiiiiiiii
mtuchemsheee Kwanza hi kukaangana mojakwamoja ...anawaona
 
Watakuja wananzengo waseme wewe ni Last Born [emoji23][emoji23][emoji23], ila Mkuu ulikuwa unaenda kushitakia kwa mama [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji38]

Sent from my TECNO KITOCHI using JamiiForums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…