Funzo alilotuachia Grace Mushi wa Makabe

Funzo alilotuachia Grace Mushi wa Makabe

So, you want a man to commit himself to you and not the other way round? ni sawa wewe kum cheat, but hutavumilia yeye akitoka na mbebez mwingine.....
Acheat nisijue ila sio kunifanya kama mtoto asiejua kusoma hata picha haoni! Kuna vitu mtu anaeza fanya vikawa ishara tosha kabisa kuwa no love anymore,, yanini kuendelea hapo, akaaa!
 
Acheat nisijue ila sio kunifanya kama mtoto asiejua kusoma hata picha haoni! Kuna vitu mtu anaeza fanya vikawa ishara tosha kabisa kuwa no love anymore,, yanini kuendelea hapo, akaaa!
You are right, I think ideally people should remain as couples.....but women have a pivotal role to make men settle with them.
 
Nimewaza hapaaaaa,hivi yule Neema aliemchoma Zungu petrol amehojiwa vizuri kweli,Ukute ndio alihusika na kuchoma soko la Kariakoo
 
Hyo neema aliwaza meng dada...uakute jamaa alikua anaenda nae sana kutembea buza kwa mparange..halaf leo anamwaambia its ova...

Dah sidhani kama inaweza kuwa .....

Ila mwanamke timamu hawezi fikiri kwa mparange ndio tulizo la mwanaume sababu hata huyo mwanaume na wanaume wenzie wana miparange yao... na kila mwanaume na mwanamke ana mparange wake

Chenye kina maajabu na cha kipekee ni kile waschokua nacho wanaume
 
Funzo kubwa ni kutombea hotel au geto kwako...la sivyo utachomwa moto duniani na mbinguni.
 
Back
Top Bottom