Scorpio Me
JF-Expert Member
- Aug 2, 2016
- 6,119
- 7,934
Upendo huo bado sijajaaliwa...hadi kumtia mtu motooo waiii
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Dah! ila chukulia kwa case ya Eritrea ambapo wanaume wengi walikufa kwenye vita na Ethiopia jambo ambalo lilipelekea severe gender imbalance hadi serikali kutoa amri kwa wanaume kuoa wanawake wanne, chukulia wewe una jamaa yako tayari......utafanyaje.True love comes with jealous in it they say. Sinaga msalie mtume when it comes to Love. Choose between her n me ukijifanya mjanja mjanja I choose to leave you.
Usije tu kutuingiza kingi tukaja tukakutana na petroli......Upendo huo bado sijajaaliwa...hadi kumtia mtu motooo waiii
loveBasi yaishe dada yangu...
love youBasi yaishe dada yangu...
Sinaga kurudi nyuma my dear, binafsi siangalii wala kujali your economic status na kama hio ya juu uko vizuri wala huangaiki kuinvest socially automatic wanakuja!Kwanza lazima ujiulize kama wewe hujawahi kufanya na pili ume invest kiasi gani. Investment ninayosema si ecomomical bali hata socially
Ana akili jamaa sio boya 😅 kampelekea mkewe gari ya kutembelea raum juziAsisahau tu familia yake
Hapo safiiiAna akili jamaa sio boya [emoji28] kampelekea mkewe gari ya kutembelea raum juzi
Kama huna cha kupoteza huwezi ogopa breakup! Wanawake wengi hamnaga cha kupoteza maana nyie huwa liability kwetu by 90% baki ya 10% percent inawahusu wale wanawake independent wanaoishi kwa upendo na kusaidizana na wanaume zao kutafta maendeleo!Walaaa! Mi najivua gamba kiroho safii
No way!!Dah! ila chukulia kwa case ya Eritrea ambapo wanaume wengi walikufa kwenye vita na Ethiopia jambo ambalo lilipelekea severe gender imbalance hadi serikali kutoa amri kwa wanaume kuoa wanawake wanne, chukulia wewe una jamaa yako tayari......utafanyaje.
Mungu Anakuona MkuuHuwezi kumtetea Neema, Neema ni mchaga. Wachaga sio watu wazuri. Na kama ndugu yako ameoa mchaga mwambie aendelee kupumulia mashine. Siku zake zinahesabiwa😄😄😄😄😄😄
OK, but on the hand wanawake mnaongoza ku cheat jamaa zenu, mnao msemo mnaita kudanga......hasa wanaume mambo yao ya kiuchumi yakivurugika kidogo wanawake rangi zenu halisi huanza kuonekana.......is it the same with you, are you really committed to the guy?No way!!
Hyo neema aliwaza meng dada...uakute jamaa alikua anaenda nae sana kutembea buza kwa mparange..halaf leo anamwaambia its ova...Kama mtu haeleweki achana nae
Haya mambo ya kulazimishana mapenzi hadi kufikia kuuana ni ya kishamba na kishetani
Mungu atupe macho na masikio ya ndani kuelewa sehemu zisizotufaa
Tatizo sio liabilities wala assets hapa,, tatizo moyo wa kuvumilia kuona mwenzio anakucheat laivu laivu,, na kuendelea kuudanganya moyo wako nehii nehi! Hata hao independent women ni kwakua tu hawana namna labda inategemea na mazingira na familia wanayotoka. Kama ni kusema kuvumilia ndoa sawa wanavumilia ila mioyo yao haina amani kabisa. Ful stress uuwii! Hapanaaa!Kama huna cha kupoteza huwezi ogopa breakup! Wanawake wengi hamnaga cha kupoteza maana nyie huwa liability kwetu by 90% baki ya 10% percent inawahusu wale wanawake independent wanaoishi kwa upendo na kusaidizana na wanaume zao kutafta maendeleo!
Wanavumilia kwa sababu gharama za kubreak up ni kubwa kuliko ku hold! Familia inayokuwa na watoto ni ngumu sana kuvunjika tofauti na ambayo watoto hamna, hutakaa ufurahia watoto wako wakija kunyanyaswa na mama wa kambo hivyo unaji adjust namna ya kuishi for the sake of kids!Tatizo sio liabilities wala assets hapa,, tatizo moyo wa kuvumilia kuona mwenzio anakucheat laivu laivu,, na kuendelea kuudanganya moyo wako nehii nehi! Hata hao independent women ni kwakua tu hawana namna labda inategemea na mazingira na familia wanayotoka. Kama ni kusema kuvumilia ndoa sawa wanavumilia ila mioyo yao haina amani kabisa. Ful stress uuwii! Hapanaaa!
Ni ngumu ila lazma mkae mzungumze we utaachana na wanaume wangapi kama unaogopa kuchitiwa? Inafikia mahali sababu bills zinalipwa mambo yanaenda ndio maana wanawake wengi wapo kwenye ndoa! Tengeneza furaha yako tu!Tatizo sio liabilities wala assets hapa,, tatizo moyo wa kuvumilia kuona mwenzio anakucheat laivu laivu,, na kuendelea kuudanganya moyo wako nehii nehi! Hata hao independent women ni kwakua tu hawana namna labda inategemea na mazingira na familia wanayotoka. Kama ni kusema kuvumilia ndoa sawa wanavumilia ila mioyo yao haina amani kabisa. Ful stress uuwii! Hapanaaa!
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]ustawi was jamii wanazuia watu wasichepuke?Adhabu za aina hii sio kabisa ni heri angempa mwanaume nafasi ya kujitetea,Mapenzi au mahusiano hayalazimishwi Kama mtu akupendi we achana nae kwani wengine hawapo? Ukijikubari,ukijithamini na kijipenda mwenyewe mahusiano hayawezi kukupa shida.Kwani wanaume wameisha mbona wapo wengi tu.Wanaume wenzangu hebu tuache kucheza na hisia za wanawake,Mwanamke akipenda huwa anapenda kweli yaani vyote pamoja na moyo wake Sasa inapotokea unamsaliti huwa anatengeneza kisasi kikubwa.Wanawake unapogundua mpenzi wako anakusaliti usijichukulie sheria mkononi nenda kamshitaki hata ustawi wa jamiii.[emoji848][emoji1241]
Mambo ya kujikomit ndo yanafanya watu wanaua na kujiua wenyewe!!OK, but on the hand wanawake mnaongoza ku cheat jamaa zenu, mnao msemo mnaita kudanga......hasa wanaume mambo yao ya kiuchumi yakivurugika kidogo wanawake rangi zenu halisi huanza kuonekana.......is it the same with you, are you really committed to the guy?
So, you want a man to commit himself to you and not the other way round? ni sawa wewe kum cheat, but hutavumilia yeye akitoka na mbebez mwingine.....Mambo ya kujikomit ndo yanafanya watu wanaua na kujiua wenyewe!!