Deeboyfrexh
JF-Expert Member
- Apr 3, 2015
- 3,417
- 5,579
Mzee unauza ramani ya vitaUngejichanganya tu vijana kama hao siku hizi wanafunga LEMBA mboro hailali masaa 6. Ungetoa hadi kadi ya benki
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mzee unauza ramani ya vitaUngejichanganya tu vijana kama hao siku hizi wanafunga LEMBA mboro hailali masaa 6. Ungetoa hadi kadi ya benki
Hiyo issue ya ukimwi utajua wewe. Yeye anachojali apige show ya maana ili kesho urudi tena. Akipiga show ya kichovu hawezi pewa subaru.Mungu wangu, with all these efforts? Ukimwi si unaenda tumaliza?
Malaya nani tena mkuu? Neema? Hapana. Hapa hatusemeli double standards hapana. Kama una upeo wa sheria kidogo unaweza ona mazingira ya kesi ya neema. Kuna namna mazingira yanamfanyia favour. Uzuri ama ubaya amefanyia hadharani. Na hakuna anayesema amefanya sawa hapana. Ujasiri wake imepitiliza. Yule wa mkaa story yake iko complicated sana na hakua wazi. Mpk aliweza zika mwenyewe. Yaan unaweza ona.Kwa kuwa ni malaya! Ila yule wa gunia za mkaa mlishadadia anyongwe kabisa! Double standards
Ha ha ha ha dah, vijana vijana vijana. Yote haya ili wawe charity members wa forester nationHiyo issue ya ukimwi utajua wewe. Yeye anachojali apige show ya maana ili kesho urudi tena. Akipiga show ya kichovu hawezi pewa subaru.
Huyo ni jela tu asitegemee kubebwa kama Lulu hamna mtu anamjua labda mzazi wake ndio awe kwenye system ya mahakamani!Malaya nani tena mkuu? Neema? Hapana. Hapa hatusemeli double standards hapana. Kama una upeo wa sheria kidogo unaweza ona mazingira ya kesi ya neema. Kuna namna mazingira yanamfanyia favour. Uzuri ama ubaya amefanyia hadharani. Na hakuna anayesema amefanya sawa hapana. Ujasiri wake imepitiliza. Yule wa mkaa story yake iko complicated sana na hakua wazi. Mpk aliweza zika mwenyewe. Yaan unaweza ona.
Watu wanapambania brand na kweli wanazipiga hizi million millionHiyo issue ya ukimwi utajua wewe. Yeye anachojali apige show ya maana ili kesho urudi tena. Akipiga show ya kichovu hawezi pewa subaru.
Muda utasema. Utaniambia. Kuna mazingira yanamfavourHuyo ni jela tu asitegemee kubebwa kama Lulu hamna mtu anamjua labda mzazi wake ndio awe kwenye system ya mahakamani!
Mjini mipango na tena sasa hivi wanawake wengi wana uchumi mzuri pesa sio tatizo. Mtaji lemba tu unasukuma Harrier tako nyaniHa ha ha ha dah, vijana vijana vijana. Yote haya ili wawe charity members wa forester nation
Mjini hapa kuna Ke wengi wapo stable kiuchumi ila show yakueleweka hawapati. Sasa akipata kijana wa lemba anatoa tu hela vizuri.Watu wanapambania brand na kweli wanazipiga hizi million million
Ha ha ha ndioo. Ila nimejifunza ubinafsi rasmi. Na sisi tutakua tunawanunua na basi kwakua hamjitambui. Na mkileta ujinga ni gunia ama petrolMjini mipango na tena sasa hivi wanawake wengi wana uchumi mzuri pesa sio tatizo. Mtaji lemba tu unasukuma Harrier tako nyani
Eeh anataka mashosti zake nae wakuheshimu so anamwagika tu! Nina kijan a wangu mmoja amepangiwa apartment mikocheni na amepewa Harrier tako la nyani kazi ni moja tu kumstarehesha mama na sometimes anasafiri nae! Mwamba anamenya sana yani huku macho matatu huku S21 ultra. Sema jamaa sio marioo pro max,,,ana mke na watoto kawaacha mkoa yeye anapiga kazi mjini hapa town kaofisi kamoja ya serikali ila maslahi madogo compared na maisha anayoishi sasa!Mjini hapa kuna Ke wengi wapo stable kiuchumi ila show yakueleweka hawapati. Sasa akipata kijana wa lemba anatoa tu hela vizuri.
Uzuri wa m/ke akikukubali na huna hela anataka akugeuze wa hadhi yake hapo ndio subaru zinakuja.
Tatizo mnakariri! Ndoa si kuwa unamiliki mali za mwenzako. Ndoa ni kuwa kila mtu ana majukumu yake na anayatekeleza ipasavyo. Ndoa ya kukusanya kila kitu pahala pamoja huwa haidumu bwashee. Mfano yeye ana ndugu zake na wewe una wako, si rahisi kuwaunganisha.Mali zake ni zake na zako ni zako sasa hapo ndoa iko wapi?
Wewe ni mchaga 🙄?Ha ha ha mbona hata sisi ni wachagga ila ujasiri huo hatuna. Si wote ndugu yangu. Achana na story za vijiweni
Ndio. Nataka nikuchome motoWewe ni mchaga [emoji849]?
😀 hamna mkuu,mbona wachaga wako poa,mwenyewe ninae m1 ila 🤪🤪Ndio. Nataka nikuchome moto
Exactly. Wako well informed hawaji kizembe aisee. Wajinga sana vijana hawa. Na wanazipata balaa. Hasa wakiahidi ndoaI
HUYUUU UNAMPIKA.NA SUPU KABISA WOIIIIIIII KUNA WENGINE MAMBOYA KUCHOMA AYATOSHI........Ndio. Nataka nikuchome moto
Hahaha hataa, nyie ndo wadangaji enzi na enziSHIDAA MNATUTAFUNA SANA HRLA ZETU HII COVID IMELETA HESHIMA ZAMUYENU MTAZITOA KILAKONA NA TUNAZILAA....WOIIIIII NACHOOCHARUWA