Funzo la mapinduzi toka nchini Mali: Maafisa waaandamizi wa Serikali ya Tanzania tendeni haki na kwa usawa kwani hamuijui kesho yenu

CreativityCode,
Unapoteza muda tu! Kwa akili yako unaamini Tz iko kundi la nchi kama hiyo Mali? Unaijua Mali au unadandia kila kinachojitokeza? Someni muongeze uelewa badala ya kila siku kuhangaikia whatsapp!
 
Sio ufisadi tu, hali ya uchumi mbaya na pia hali ya usalama wa nchi haiko sawa. Yani kule hawakukubali watu wachache wanatajirika wakati 1.5 trl zinapotea bila maelezo yeyote.
 
Unapoteza muda tu! Kwa akili yako unaamini Tz iko kundi la nchi kama hiyo Mali? Unaijua Mali au unadandia kila kinachojitokeza? Someni muongeze uelewa badala ya kila siku kuhangaikia whatsapp!
Nani angeamini Mugabe angeondolewa na jeshi? Mpigania uhuru aliyepo madarakani, aliyewatoa kwenye mikono ya wakoloni
 
Ukiona hivyo, huyu CreativityCode aliyejiunga na JF mwezi August 2020, hajakomaa na huenda kapigwa kibano cha ufisadi na Magufuli na sasa anaamini au anaomba hayo yatokee, akiamini atapata nafuu.
 
Wanajeshi watakachofanya ni kukuheshimu.

Ila ikitikea wananchi wameandamana sana hawakutaki na maandamano yakiwa serious hao wanajeshi wanakugeuka dakika sifuri tu.
Tena wale wa chini, sio wale washakaji wa kuwekana juu.
 
Nani angeamini Mugabe angeondolewa na jeshi? Mpigania uhuru aliyepo madarakani, aliyewatoa kwenye mikono ya wakoloni
Naona umejiunga tangu 2012. Hata kama ulikuwa form 2 sasa hivi ulistahili uwe na uelewa wa kiasi fulani. Unapotoa mfano wa Mugabe na kuondolewa kwake ni ishara tena ya umbumbumbu! Yaani hata Zimbabwe na Mugabe hujui hali ilikuwaje.
 
Naona umejiunga tangu 2012. Hata kama ulikuwa form 2 sasa hivi ulistahili uwe na uelewa wa kiasi fulani. Unapotoa mfano wa Mugabe na kuondolewa kwake ni ishara tena ya umbumbumbu! Yaani hata Zimbabwe na Mugabe hujui hali ilikuwaje.
Wewe unayejua Mkuu haya tuambie sisi mambumbumbu ilikuaje.
 
Wamesema aliyeongoza ni kanali wa jeshi, sema tu ni very young...
 
Sio ufisadi tu, hali ya uchumi mbaya na pia hali ya usalama wa nchi haiko sawa. Yani kule hawakukubali watu wachache wanatajirika walati 1.5 trl zinapotea bila maelezo yeyote
Mkuu, nadhani hapa kwetu iko shida ya Idara moja hivi kutokuwekwa mambo yake peupe pe
 
CreativityCode,

Ndugu yangu ogopa sana maofisa wa Jeshi wenye vyuo vya Luteni Usu, Luteni, Captain, Meja, Luteni kanali na Kanali . Hawa watu ni watu wenye ujasiri sana na uwezo mkubwa sana.

Nyerere angekuwa hai angekueleza maofisa wa vyeo hivi walivyomwendesha!

Hao kina Luteni Maganga, Captain Kadego na Meja Khatib Macghee bado kidogo wamuondoe Baba Makongoro magogoni mwaka 1982
 
Unapoteza muda tu! Kwa akili yako unaamini Tz iko kundi la nchi kama hiyo Mali? Unaijua Mali au unadandia kila kinachojitokeza? Someni muongeze uelewa badala ya kila siku kuhangaikia whatsapp!
Sidhani kama Mali waliwahi fika hatua ya kuteka na kuua watu na kumiminia watu risasi 38 mchana wa saa saba.

Unaweza ukawa unanufaika na regime hii, wenye familia za wahanga wanajua jinsi gani ya kuifafanua TZ.

Kama ww uko safe na hujaguswa piga kimya.
 
Ukiona hivyo, huyu CreativityCode aliyejiunga na JF mwezi August 2020, hajakomaa na huenda kapigwa kibano cha ufisadi na Magufuli na sasa anaamini au anaomba hayo yatokee, akiamini atapata nafuu.
Ni upumbavu wa kiwango cha juu sana kufikiri kila anayepinga uovu wa serikali ya awamu ya tano ama katumwa na mabeberu au alikuwa fisadi na sasa mirija yake imezibwa.

Ni usukule wa kiwango cha kutisha na kuogofya kuona kwamba awamu hii inaongozwa na "malaika".
 
If the government refuse to develop the region

And continue the marginalization and injustice

The youth, that’s what coming after us

And it will be more brutal than what we have done.
 
Wewe unayejua Mkuu haya tuambie sisi mambumbumbu ilikuaje.
Niulize unachotaka kujua. Uchumi wa Zimbabwe? Nguvu ya Mugabe Jeshini (Comrades), afya yake? Uwe specific maana nionavyo wote tuko JF kama bahari. Kuna uduvi hadi nyangumi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…