Huyo mtemi tajiri sana aliitwa Mansa Musa na sio Manka Musa.Mkuu Nyanjomigire, kwa bahati nzuri sana, mimi ni mpenzi wa somo la Historia, hivyo Mali ninayoujua mimi sio tuu Mali hii, bali mali ya tangu enzi za Manka Musa.
Hivyo naendelea kusisitiza, Mali ni Mali na Tanzania ni Tanzania.
P
Ndo nasikia kwao ndo magaidi wa aina gani haoVipi kuhusu mifumo na tawala za nchi za kibeberu.
Mbona wanao magaidi wao hitaita "home-grown terrorists"?
Ndo nasikia kwao ndo magaidi wa aina gani hao, unajua chanzo cha ugaidi?Vipi kuhusu mifumo na tawala za nchi za kibeberu.
Mbona wanao magaidi wao hitaita "home-grown terrorists"?
Ndo nasikia kwao ndo magaidi wa aina gani hao, unajua chanzo cha ugaidi?
Mkuu Amani sawa na budget nyumbani kwako!Mali ni Mali na Tanzania ni Tanzania, hatuko hivyo!. Sisi ni watu peace sana!.
P
NILIJUWA LAZIMA UWATETEE WANYANG'ANYI, BRAZA ELIMU YAKO BADO HAIJAWA MSAADA KWAKO NA KWA JAMII NZIMA INAYOKUZUNGUKA, NJAA YA TUMBO HAPASWI KUHAMIA KICHWANI.Mali ni Mali na Tanzania ni Tanzania, hatuko hivyo!. Sisi ni watu peace sana!.
P
Aliye sababisha hayo nani?Sasa Libya si ni kwasababu ya upumbavu wao tu!
Kwanza nenda liby sasa hivi ukajione mambo yalivyo hovyo
Wanajuta watajuta sana! Ile nchi sijui kama itarudi kwenye mstari tena