johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
- Thread starter
-
- #21
Hahahaaaa........ Mkuu usiogope kutajwa!Asichokoze Nyuki…tutafungulia Mzinga kuonesha umungu mtu wake pale kwa Mkemia Mkuu wa Serikali wakati wa utawala wa Kaka wa Mama yake!
Siyo ukatili hiyo ndio siasa!Ila magufuli alimfanyia ukatili sana
Siyo ukatili hiyo ndio siasa!
CCM wamekuwa wezi kiasi cha kuhisi wizi ukiwa kazini ni halali, yale yale ya 5000 ya kubrashia viatu.KUPE ni Rais fisadi ambae anahamasisha ufisadi kupitia TV ya Taifa🤡🤡🤡
View attachment 2080178
Angejua ya mbele asingethubutu kukata jina la Mpwa wake. Kuna nafasi alimwandalia lakini kabla hajampa mauti yakamkuta. Alimwacha kama reference kwamba Hana ukabila na uukoo.Ila magufuli alimfanyia ukatili sana
Ya mbele apangaye Mola!Angejua ya mbele asingethubutu kukata jina la Mpwa wake. Kuna nafasi alimwandalia lakini kabla hajampa mauti yakamkuta. Alimwacha kama reference kwamba Hana ukabila na uukoo.
Siasa ya Jamii!Siasa ya nini
Hajifunzi kwa Marehemu dada yetu Amina Chifupa. Kutishia kutaja ni kujitundika kitanzini, ni ama wawai kukata kitanzi vinginevyo unaondoka.Hawezi kuwataja hapo ndo amefikia mwisho. Anatafuta huruma ya kukumbukwa kwenye teuzi ama anajipanga kwa ajili ya 2025.
Anawapeleka lini Marekani?Mayalla ni mkazi mwenzangu wa Kawe na Gwajima ni mbunge wetu!
Hayupo Rais mwingine atakayekuja kutawala nchi hii halafu akafanyiwa hujuma kama alizofanyiwa hayati JPMFuraha Dominic ni mpwa wa hayati Magufuli.
Jumatatu alikuwa na mjadala katika kipindi cha The Big Agenda kinachorushwa na Star tv. Kutokana na mambo mengi aliyokuwa nayo muda wa kipindi haukutosha hivyo mtangazaji nguli Aloyce Nyanda aliahirisha hadi leo saa 3:30 usiku.
Furaha awali alielezea namna hayati Magufuli alivyokuwa amezungukwa na watu waongo, wazushi na wafitini (KUPE) waliosababisha wakati mwingine afanye maamuzi yasiyo sahihi yaliyoumiza wasio na hatia.
Pili, alielezea namna Wasiojulikana walivyomuwekea zengwe hadi akaukosa ubunge wa Kawe.
Tatu, alielezea namna mbunge wa sasa wa Kawe mh Dkt. Gwajima alivyo muongo wa viwango vya kimataifa.
Mwisho, alisema yuko tayari kuwataja KUPE wote waliomnyonya damu mjomba wake ili wasije kumharibia Rais Samia katika uongozi wake wa awamu ya 6.
Je, atawataja?
Mungu wa mbinguni mpe wepesi Furaha Dominic.
cc: Pascal Mayalla
Maendeleo hayana vyama
Twafaaaaaaa yeleuwiiiiiiiKUPE ni Rais fisadi ambae anahamasisha ufisadi kupitia TV ya Taifa🤡🤡🤡
View attachment 2080178
Karibu Kawe bwashee!Anawapeleka lini Marekani?
Ni Vema AKAWATAJA MAANA MAGUFULI ANALAUMIWA KILA KITU NA MASWAHIBA WAKEFuraha Dominic ni mpwa wa hayati Magufuli.
Jumatatu alikuwa na mjadala katika kipindi cha The Big Agenda kinachorushwa na Star tv. Kutokana na mambo mengi aliyokuwa nayo muda wa kipindi haukutosha hivyo mtangazaji nguli Aloyce Nyanda aliahirisha hadi leo saa 3:30 usiku.
Furaha awali alielezea namna hayati Magufuli alivyokuwa amezungukwa na watu waongo, wazushi na wafitini (KUPE) waliosababisha wakati mwingine afanye maamuzi yasiyo sahihi yaliyoumiza wasio na hatia.
Pili, alielezea namna Wasiojulikana walivyomuwekea zengwe hadi akaukosa ubunge wa Kawe.
Tatu, alielezea namna mbunge wa sasa wa Kawe mh Dkt. Gwajima alivyo muongo wa viwango vya kimataifa.
Mwisho, alisema yuko tayari kuwataja KUPE wote waliomnyonya damu mjomba wake ili wasije kumharibia Rais Samia katika uongozi wake wa awamu ya 6.
Je, atawataja?
Mungu wa mbinguni mpe wepesi Furaha Dominic.
cc: Pascal Mayalla
Maendeleo hayana vyama
Acha utopolo wa kumtetea rais katili kuliko yeyote kutokea Tanzania.Hayupo Rais mwingine atakayekuja kutawala nchi hii halafu akafanyiwa hujuma kama alizofanyiwa hayati JPM
Kwa machache tu, mara baada tu ya kuingia madarakani
MOJA: Lundo la wanafunzi wakafukuzwa kule UDOM, akiambiwa kuwa walikuwa wanasoma degree wakiwa hawana qualifications. Possibly kweli baadhi yao hawakuwa na qualifications ila NAMNA ile ya kuwaondoa watu hao ndiyo HUJUMA zilipitishiwa humo. Waliondolewa kwa utaribu utafikiri ni wahalifu wa kiwango cha juu kabisa, wakati walikuwa ni wa-Tanazania wazalendo na watoto wa wakulima. Sisemi kwamba kuondolewa wanafunzi hawa haikuwa sahihi, bali NAMNA walivyoondolewa nsdiyo haikuwa sahihi
MBILI: Wafanyakazi hewa na wale ambao hawakuwa na elimu stahiki. Hapa walikuwa wanaingizwa na wafanyakazi wengine ambao hawakustahili kuwemo kwenye makundi hayo
TATU: SUKUMA GANG- Hili kundi linaweza kuwa kweli lilikuwepo, lakini ukweli ni kuwa kama kweli lilikuwa ni la WASUKUMA, basi lilikuwa limeundwa kwa ajjili ya kumchafua, na siri hiyo ilikuwa inajulikana na WASUKUMA wachache wale waliokuwa wameasisi kundi hilo, na possibly waasisi wa kundi hilo hawakuwa WASUKUMA na ndiyo maana ilitumika njia ya kusambaza kwanza CLIP ya msukuma waliyemsingizia kuwa ana mpango wa kuanzisha kundi la ina hiyo.
Chances kubwa ni kwamba waasisi wa kundi hili wanaweza kuwa hawakuwa WASUKUMA
NNE: Mh. Tundu Lissu kujeruhiwa kwa mvua za risasi. Ni kundi hilo hilo la kumhujumu Magufuli lilikuwa liko kazini
Mambo ni mengi ikiwa ni pamoja na ya kule KIBITI pamoja na matukio ya kwenye mto Ruvu
"USIPOMPENDA RAIS ALIYEKO MADARAKANI, IPENDE NCHI YAKO"
Kweli bwashee!Ni Vema AKAWATAJA MAANA MAGUFULI ANALAUMIWA KILA KITU NA MASWAHIBA WAKE
Sent from my SM-J600F using JamiiForums mobile app
Unatia moyo kwa sababu angalau inaonyesha unaziona mwenywewe hujuma nyingine alizokuwa anafanyiwa. Mimi sisemi kwamba aikuwa ni malaika, isipokuwa najaribu tu kuaanisha yale ambayo yalifanywa kwa nia ya kumhujumu.Kwa Lissu aliwahi saidia lolote, na atasaidia vipi kama alihusika!
No.2 uko sahihi, kuna wengine wamerudishwa kazini baada ya miaka 3. Kuna mmoja aliondolewa kazini kisa tu alipoajiriwa toka kwao Bukene ndani huko hakuwa na dini, baada ya miaka 3 akaokoka na kubatizwa. Akaapa Mahakamani jina la Joseph likongezwa kwenye majina yake. Kumbuka cheti cha form 4 cha 1981 kina majina 2 tu. Eti hilo likawa kosa la kuonesha ni mtumishi hewa??Hayupo Rais mwingine atakayekuja kutawala nchi hii halafu akafanyiwa hujuma kama alizofanyiwa hayati JPM
Kwa machache tu, mara baada tu ya kuingia madarakani
MOJA: Lundo la wanafunzi wakafukuzwa kule UDOM, akiambiwa kuwa walikuwa wanasoma degree wakiwa hawana qualifications. Possibly kweli baadhi yao hawakuwa na qualifications ila NAMNA ile ya kuwaondoa watu hao ndiyo HUJUMA zilipitishiwa humo. Waliondolewa kwa utaribu utafikiri ni wahalifu wa kiwango cha juu kabisa, wakati walikuwa ni wa-Tanazania wazalendo na watoto wa wakulima. Sisemi kwamba kuondolewa wanafunzi hawa haikuwa sahihi, bali NAMNA walivyoondolewa nsdiyo haikuwa sahihi
MBILI: Wafanyakazi hewa na wale ambao hawakuwa na elimu stahiki. Hapa walikuwa wanaingizwa na wafanyakazi wengine ambao hawakustahili kuwemo kwenye makundi hayo
TATU: SUKUMA GANG- Hili kundi linaweza kuwa kweli lilikuwepo, lakini ukweli ni kuwa kama kweli lilikuwa ni la WASUKUMA, basi lilikuwa limeundwa kwa ajjili ya kumchafua, na siri hiyo ilikuwa inajulikana na WASUKUMA wachache wale waliokuwa wameasisi kundi hilo, na possibly waasisi wa kundi hilo hawakuwa WASUKUMA na ndiyo maana ilitumika njia ya kusambaza kwanza CLIP ya msukuma waliyemsingizia kuwa ana mpango wa kuanzisha kundi la ina hiyo.
Chances kubwa ni kwamba waasisi wa kundi hili wanaweza kuwa hawakuwa WASUKUMA
NNE: Mh. Tundu Lissu kujeruhiwa kwa mvua za risasi. Ni kundi hilo hilo la kumhujumu Magufuli lilikuwa liko kazini
Mambo ni mengi ikiwa ni pamoja na ya kule KIBITI pamoja na matukio ya kwenye mto Ruvu
"USIPOMPENDA RAIS ALIYEKO MADARAKANI, IPENDE NCHI YAKO"