FURAHA ILIYOJE.

FURAHA ILIYOJE.

Kapwil

JF-Expert Member
Joined
Apr 3, 2018
Posts
2,625
Reaction score
3,735
Ninafuraha sana ndugu wana bodi kujiunga leo na jukwaa hilo.naombeni ushirikiano wenu akina mshana,demiss.shukrani zimwendee MTU mmoja nisiyefamiana kwa kunisaidia sana nimemsumbua usiku kwa kumpigia sm usiku wa SAA NNE kisha na Leo asubuhi nimempigia tena heshima kwake.
 
Mkuu uliambiwa huku jf Demiss peke yake ndo anajulikana aiseeh hebu mtag aliyenipigia promo nimpigie makofiiii
 
Nasikia huku jf Demis ndio habari ya mjini.
 
Ninafuraha sana ndugu wana bodi kujiunga leo na jukwaa hilo.naombeni ushirikiano wenu akina mshana,demiss.shukrani zimwendee MTU mmoja nisiyefamiana kwa kunisaidia sana nimemsumbua usiku kwa kumpigia sm usiku wa SAA NNE kisha na Leo asubuhi nimempigia tena heshima kwake.
Karibu sana mkuu kwenye jukwaa la JF intelligence. Bila kusahau jukwaa pendwa la MMU
 
MMU ni jukwa la nn bosi naomba msaada wako.
 
Back
Top Bottom