Conq'ueror
Senior Member
- May 13, 2015
- 171
- 131
Takribani mwaka mmoja na nusu nikiifurahia Jamii Forums bila 'ruhusa'.Leo nimekata shauri na kujiunga nanyi rasmi.Nategemea kupata mafunzo,changamoto na uzoefu mpya kutoka kwenu.Wakubwa kwa wadogo,tambueni heshima yenu kutoka kwangu!