NALIA NGWENA
JF-Expert Member
- Oct 6, 2016
- 10,587
- 13,425
Kila shabiki wa Simba sc analiomba Hilo kwa jinsi navyowajua TFF watafanya Figisu za wazi ili Fiston Kalala Mayele asichukue kiatu Kama alivyofanyiwa msimu uliopita ili wabalance furaha ya mtoto wao kilaza darasani.
Kila wakikumbuka mwamba ana buti la CAF mioyo yao inachoka sana.
Nawasilisha hoja.
Kila wakikumbuka mwamba ana buti la CAF mioyo yao inachoka sana.
Nawasilisha hoja.