ubarinolutu
JF-Expert Member
- Oct 22, 2012
- 2,424
- 4,954
Kocha Muargentina Miguel Gamond, a.k.a Mzee wa "FOR ME" amesababisha tatizo la kisaikolojia Kwa Mashabiki na Viongozi wa Simba , ambao wao wanaamini mafanikio ya club yao mchawi wao ni Miguel Gamond, Mzee wa For Me.
Miguel Gamond anatengenezewa Zengwe na Simba ili afukuzwe , na tegemeo lao ni endapo ""Miguel Gamond For Me"'ataondoka basi wao wataweza kuwafunga Yanga na kuchukua bingwa mbalimbali. Simba imeenda Mbali zaidi na kulipa baadhi ya wachambuzi pesa ndefu Ili kum bomoa gamondi katika uchambuzi wao, na presha kubwa kupewa mashabiki waone Kiboko ya Simba Gamondi anaondoka nchini na kuwaondolea mateso ya kufungwa na Yanga mara zote.
Simba pia imeamua kumtumia manara Ili kumbomoa Gamond na kuhakikisha anaondoka.
Hali ilivyo ni kwamba mashabiki wa Simba ndio wanataka Gamond aondoke, huku mashabiki wa Yanga wakitaka Kocha Gamond Mzee wa Mtoto kautaka abakie clubuni hapo Ili aendelee kuwagaia Simba sport wastani Kwa idadi.
Miguel Gamond anatengenezewa Zengwe na Simba ili afukuzwe , na tegemeo lao ni endapo ""Miguel Gamond For Me"'ataondoka basi wao wataweza kuwafunga Yanga na kuchukua bingwa mbalimbali. Simba imeenda Mbali zaidi na kulipa baadhi ya wachambuzi pesa ndefu Ili kum bomoa gamondi katika uchambuzi wao, na presha kubwa kupewa mashabiki waone Kiboko ya Simba Gamondi anaondoka nchini na kuwaondolea mateso ya kufungwa na Yanga mara zote.
Simba pia imeamua kumtumia manara Ili kumbomoa Gamond na kuhakikisha anaondoka.
Hali ilivyo ni kwamba mashabiki wa Simba ndio wanataka Gamond aondoke, huku mashabiki wa Yanga wakitaka Kocha Gamond Mzee wa Mtoto kautaka abakie clubuni hapo Ili aendelee kuwagaia Simba sport wastani Kwa idadi.