Ngoja tuone nini kitafata.Hapa Africa Mashariki ukiondoa Al Hilal ya Sudani, hakuna team yenye misuli kiuchumi kiasi cha kubaki na kocha anayewindwa na team za kasikazini au Afirika Kusini.
Hizi nchi zetu ni sehemu ya makocha kutengeneza majina na CV, Nabi hawezi kuichagua Yanga akaacha mihela ya maana huko kwingine, labda kusiwe na offer yoyote iliyokuja.
Acha kumtegemea mwanadamu wee ngwena Ni ujinga tuNatoa pongezi za dhati kabisa kwa Yanga sc kubeba kombe la Azam shirikisho baada ya kuichapa Azam Fc kwa bao moja kwa mtungi.
NALIA NGWENA nilikua nafuraha kubwa lakini furaha yangu imekatishwa na kocha msaidizi wa Yanga Cedric.
Mwandishi "msimu ujao tutegemee mtihani mkubwa wa kufikia/ kufanya zaidi ya hapa kwa kupata mafanikio Kama haya mliyoyapata mwaka huu??
Cedric Kaze "mtihani watakuwepo nao hao watakao kuja maana sisi tumemaliza mkataba nafikiri hao watakao kuja Yanga sc ndiyo watakua na mtihani"
Hilo jibu la Kaze limenifanya nigundue kua mwamba anasepa, na Kama anasepa ni peke yake au Nabi nae kiukweli furaha yangu imepotea gafla.
Nawasilisha hoja.
🤣🤣🤣🤣🤣🤣Wanapelekewa moto sio poa, hadi najiuliza hawa ukraine wapo kwenye vita kweli?
Hakuna Dau La Kukomoa Mkuu, Watu Hutaja Dau WanalostahiliKwanza asingeweza kusema kuwa atahusika msimu ujao ilihali mkataba huo hawana.
Lakini la pili, Dunia Ina watu wengi na vipaji tofauti kwa nyakati tofauti, nadhani sio vizuri kudhani hamuwezi kufanikiwa kisa ni Fulani.
Ila Imani yangu, basing kwa kazi nzuri walioyofanya, sidhani kama klabu itawaacha, labda waamue kupandisha dau la kukomoa.
Walifungiwa na CAF mkuu baada ya mpira wao kuuchanganya na siasa.Nje ya mada.
Hivi mbona kuna baadhi ya timu toka nchi kama kenya sionagi zikishiriki klabu bingwa.
Asa uone nini??Ngoja tuone
Nje ya mada.
Hivi mbona kuna baadhi ya timu toka nchi kama kenya sionagi zikishiriki klabu bingwa.
Nabi huyoooo ZamalekNabi mwenyewe ni kama vile alikuwa anapunga mkono anaaga. Watakuwa wamepata ofa huko kwingine.
Pole sana hakuna aliyemtegemea aise Soma vizuri andiko.Acha kumtegemea mwanadamu wee ngwena Ni ujinga tu
Wacha waondokee watakuja wengine wengi
SAS Kama wanalazimishwa walipwe mabilion ya pesa na gsm Kwan wasiondokee wasepa tu
Hawajui mpira.Nje ya mada.
Hivi mbona kuna baadhi ya timu toka nchi kama kenya sionagi zikishiriki klabu bingwa.
Kama atabaki au ataenda.Asa uone nini??
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Sent from my SM-A310F using JamiiForums mobile app
Kwa hiyo Simba ndiyo wanajua.Hawajui mpira.
Yanga enyewe wamshukuru saana Simba kwa kumfundisha ujanja..
Sent from my SM-A310F using JamiiForums mobile app
Hujatoka Nje Ya Mada, Wao Wana Ligi Yao Wanayoshiriki, Ya Kuzungumza KiingerezaNje ya mada.
Hivi mbona kuna baadhi ya timu toka nchi kama kenya sionagi zikishiriki klabu bingwa.
Ulitaka aseme uongo kama wabongo ujanja ujanja wwenu.Natoa pongezi za dhati kabisa kwa Yanga sc kubeba kombe la Azam shirikisho baada ya kuichapa Azam Fc kwa bao moja kwa mtungi.
NALIA NGWENA nilikua nafuraha kubwa lakini furaha yangu imekatishwa na kocha msaidizi wa Yanga Cedric.
Mwandishi "msimu ujao tutegemee mtihani mkubwa wa kufikia/ kufanya zaidi ya hapa kwa kupata mafanikio Kama haya mliyoyapata mwaka huu??
Cedric Kaze "mtihani watakuwepo nao hao watakao kuja maana sisi tumemaliza mkataba nafikiri hao watakao kuja Yanga sc ndiyo watakua na mtihani"
Hilo jibu la Kaze limenifanya nigundue kua mwamba anasepa, na Kama anasepa ni peke yake au Nabi nae kiukweli furaha yangu imepotea gafla.
Nawasilisha hoja.
Daah aloo ....Hujatoka Nje Ya Mada, Wao Wana Ligi Yao Wanayoshiriki, Ya Kuzungumza Kiingereza