Mac Alpho
JF-Expert Member
- Aug 5, 2019
- 13,953
- 27,825
Hapa Africa Mashariki ukiondoa Al Hilal ya Sudani, hakuna team yenye misuli kiuchumi kiasi cha kubaki na kocha anayewindwa na team za kasikazini au Afirika Kusini.
Hizi nchi zetu ni sehemu ya makocha kutengeneza majina na CV, Nabi hawezi kuichagua Yanga akaacha mihela ya maana huko kwingine, labda kusiwe na offer yoyote iliyokuja.
Hizi nchi zetu ni sehemu ya makocha kutengeneza majina na CV, Nabi hawezi kuichagua Yanga akaacha mihela ya maana huko kwingine, labda kusiwe na offer yoyote iliyokuja.