Furaha yangu ya Yanga kuchukua kombe imekatishwa na kauli tata ya kocha msaidizi Cedric kaze

Ujeruman kitendo chatimu yataifa kujitwika mzigo wakupromote ushoga ndio kinawatafuna
Mmeanzaaaa?? Na Taifa stars inayo sua sua kutoboa Afcon, nayo ina support ushoga?? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Wabongo bhana
 
mie pia nilimsikia lakini naamini wapo kwenye maongezi na yanga kuongeza mikataba
 
Kocha si mchezaji, anaweza vunja mkataba muda wowote akasepa
 
Pole sana hakuna aliyemtegemea aise Soma vizuri andiko.

Najaribu kuwaza namna gani kocha gani atashika mikoba ya Nabi
Pluijm, Ernie Brandts n.k walikuwa na vikosi vya kawaida na timu ikawa nzuri, Nabi ana kikosi cha gharama, ujuzi amesaidia kwa sehemu kubwa sikatai ila uwekezaji ulimbeba zaidi.

Atakuja tu kocha mwingine mzuri zaidi.
 
Kwahyo ukalia kabisa,kisa mwanaume mwenzio anaacha kazi utopoloni??
 
Hiyo sentence ya mwisho sasa
 

Pole sana Mkuu!

Uwezekano wa Technical Bench la Yanga kuondoka imetia simanzi mashabiki wa Yanga. Wengi wamesikitika.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…