Down To Earth
JF-Expert Member
- Jul 8, 2011
- 21,940
- 16,643
Dada yng mwallu hii iko Belisimo!
Najua Bazazi Excel ataanza kufikiria kumbwaga miss neddy afate mashahiri! Lkn Hana nafasi!
khaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa .macho yangu mabovu au
iwe nyekundu hivi,rangi ya upendo eti ee?
mamii Angelicious ni mke wa Daudi1.. please usiwe mgumu kiasi hicho.. legeza MOYO SISTER..
Jamani vipi tena mnataja baby wangu.......kwenye stori zenu msimtaje tafadhalimamii Angelicious ni mke wa Daudi1.. please usiwe mgumu kiasi hicho.. legeza MOYO SISTER..
Kwamba haujasikia au?Rudia tena kwa herufi kubwa
Jamani vipi tena mnataja baby wangu.......kwenye stori zenu msimtaje tafadhali
Kama umeona rangi nyekundu basi macho yako mabovu!
bazazi una mistari ajabu
mdogo wangu atasalimika kweli?
Hata kama ukijitahidi kunipaka matope huwezi
Alijaribu Ennie sasahivi amekua mpole kama maji ya mtungini!
his excellency,... please pata hii kwa ajili ya kupunguza baridi..
inaitwa brioni vanuish II.. usd 43,000
nadhani utapendeza kijiji kizima..
Mwanamke mwenyewe kachoka mwanaume gani haridhiki kila shimo anataka kuingia yeye,bibie kaona aje atulie na mimi tuliiiiiiunamaanisha ushampindua penda penda?
unamaanisha ushampindua penda penda?