sezae umeona?
mzima lakini?
Mi niko pouwa kabisa ilomboye
Sasa Huyu Lady niece Inabidi nikomae nae ili
ashindwe kumteka Excel wetu! Maana Huyu
Excel mwepesi sn kutepeta!
nina uhakika Lady niece hataki maumivu ya kichwa
huyu Excel nae sina uhakika kama kaacha u penda penda
nina uhakika Lady niece hataki maumivu ya kichwa
huyu Excel nae sina uhakika kama kaacha u penda penda
sidhani kama Lady niece ananijua vizuri.. yeye kaja tu na maneno yake ya njano mara wine sijui nini, mi nikapita kabisa! sikufanya chochote..
hahahaaa!! queen mwallu, trust me.. iam no longer yesterday.
It sounds so nice!
Kaniambia eti Yeye ni Mweupe! Eti my Heaven on Earth we Si Mweupe?
ahahahahha
mpaka hapo ushakosea..lol
Nimekosea nini?mm nimetoa
offer ya kwenda kwa mj na si kingine ,wewe nenda nitafanya alipo juu kwa
juu sio lazima tuende wote nishaona majungu yanaanza
Sent from my iPhone using JamiiForums
mpaka ma paroko wangu wasaini..vinginevyo kipaji kitatumika parokiani peke yake