Furahi day - Be Happy

Furahi day - Be Happy

Wakulu Mimi nawaacha kidogo! Ngoja Niangalie mpira!
 
nisameheni sina nia mbaya na huyo mtu anayeitwa excel
ila mm nilitaka kujua kwanini anatuimia kikombe kwenye avatar yake?
na isitoshe mm niko na Mchizi
Mi niko pouwa kabisa ilomboye

Sasa Huyu Lady niece Inabidi nikomae nae ili ashindwe kumteka Excel wetu! Maana Huyu Excel mwepesi sn kutepeta!
 
Last edited by a moderator:
ndivyo nilvyo siwezi kubadili mwandiko huu
halafu elewa kuwa niko na Mchizi hivyo usinibeep
wala kunitumia sms hapa ndugu zako akina Ntuzu
na mwallu hawapendi pls usiniingilie katika game langu


baana maandishi yako tu... unaniua dada!! pleeeeeease!!!
 
Last edited by a moderator:
naomba unisinizoee pls sitaki game lakok?
sidhani kama Lady niece ananijua vizuri.. yeye kaja tu na maneno yake ya njano mara wine sijui nini, mi nikapita kabisa! sikufanya chochote..




hahahaaa!! queen mwallu, trust me.. iam no longer yesterday.
 
sezae timu gani zinacheza leo?


Nimechekewa kukujibu dada yng! Kuliku na game ya Chelsea na everton, Chelsea ameshinda na man city na stock city, man city kashinda. Na arsenal Na Sunderland, arsenal ameshinda!

Lady niece kawa mpole! Anasema yuko na Mchizi nawakati mi Nataka kuuza ng'ombe kwa ajili yake!
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom