Miss Neddy
JF-Expert Member
- Nov 3, 2013
- 14,681
- 8,736
Last edited by a moderator:
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mi siuzunguki mbuyu
Yeye ndio ana jidai haelewi!!
umeona eeeeeh hebu nisaidie maana ananifumba fumbo gumu la akili na akili yangu nyembamba haijajua methali
bora we foleni ya msimu
wenzio tunaokaa Kimara foleni ni yetu daily kwenda na kurudi
so raha jipe mwenywe usisubiri kupewa
Sizunguki chochoteka huuzunguki mbuyu unazunguka nini!!!!!!
Sihitaji msaada wako kwakuwa anajua kila kituNinong'oneze mimi halafu nikamwambie basi
hapana..ivi unajua kua tunakupenda sana?
Mim leo sija furahi maana
hapa Dodoma kunakuwepo na foleni baadhi ya maeneo kwa ajili ya kuwapisha
waheshimiwa wanaogimania posho. inakera sana ni bora wange fanya vile
na kazi(umuhimu) ya(wa) vionekane lakina sasa kilasiku majanga mara
posho majina mawili wizi mtupu.
baba paroko nataka niunganishe na mr penda penda Excel
Nishasema sifungishi hiyo ndoa!!!!!!!!!!!
mdogo wangu mr penda penda ameshaachana na Angelicious?
ukisubiri wayatimize unayoyahitaji ili ufurahi,utasubiri ssana..furaha yako iko ndani yako
tunaogopa atakutesa..af kajiandaa kuleta ng'ombe wangapi?
Sizunguki chochote
Sihitaji msaada wako kwakuwa anajua kila kitu
Kama anajidai hajui shauri yake!!
sasa nawaaaaga rasmi mkiona nimeadimika mjue niko honeymoon
Dada yng mpendwa miss neddy Yani Mimi Wewe nakukubali kuliko mwallu ! Wewe huoni na Mimi nimeamua kumpenda Bureeeeee Shemeji yng King Excel
sasa hapo ni shauri yake au shauri yenu!!!!!!!!