Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mi Msukuma Kweli dada yng! Yani sio Wa kuchovya km dhahabu fake!
ahahahha
monday yangu haitakua blue tena..asante..nitakukumbusha asee
yeah ilikuwa poa
Parokiani wazima sijaja nina muda
Dada yng mwallu hii iko Belisimo!
Najua Bazazi Excel ataanza kufikiria kumbwaga miss neddy afate mashahiri! Lkn Hana nafasi!
ningekijua ningalishakupatia baba paroko
acha kumung'unya maneno kama ni bulungutu ulitaje nikuhesabie ziro ziro nyingi
Shauri yako.....
Endelea kujidai hamnazo tu!
mwallu Mtoto akililia wembe mpewazima tu..sema mdogo wetu miss neddy anelekea kuangukia mikonononi mwa senior bazazi Excel..anatutia mashaka sana
duhhhhhhhhhhh paroko wanionea kipi ukitakacho kisisemeka
Heaven on Earth kam zis wey unisaidie kujua paroko anataka nini
Mim leo sija furahi maana hapa Dodoma kunakuwepo na foleni baadhi ya maeneo kwa ajili ya kuwapisha waheshimiwa wanaogimania posho. inakera sana ni bora wange fanya vile na kazi(umuhimu) ya(wa) vionekane lakina sasa kilasiku majanga mara posho majina mawili wizi mtupu.
duhhhhhhhhhhh paroko wanionea kipi ukitakacho kisisemeka
Heaven on Earth kam zis wey unisaidie kujua paroko anataka nini
baba paroko Eiyer kwani ni nini unakitaka kwa huyu binti..................
ya nini kuuzunguka mbuyu namna hii
huyu huyu mwanawane si unajua ndege mjanja hunasa katika tundu bovu