Furahi day - Be Happy

Furahi day - Be Happy

Mkuu nikweli ila nikifikria kinachofanywa na hawa wabunge wa bunge la katiba kutoka kuanza kwao mara kuiba kura mara posho harafu wanatujazia magari hap mjini! all in all nashkr weekend ndo isha anza.

achana na hayo bana.........
Join me this evening tupa shida chini weka mikono juu
 
mwambie aache ubazazi kwanza..na atoe tamko kua kaachana na angelicious na u penda penda auache..hapo roho yangu itakua na amani..nakupenda sana mdogo wangu,ujue hivo
nishapindua hiyo serilaini ya angel mimi ndo mshika dau
 
Last edited by a moderator:
mwallu ebu nifundishe kusema "I love you" kwa ki-gamboshi.

Cc: nkwela Ntuzu

NB: Ushatoka gorofa ya pili?
 
Last edited by a moderator:
Last edited by a moderator:
mwallu ebu nifundishe kusema "I love you" kwa ki-gamboshi.

Cc: nkwela Ntuzu

NB: Ushatoka gorofa ya pili?

hahahahahahahahahah shemejiiiiiii nitakupiga faini ya ng'ombe sasa hivi luga yetu waiiita kigamboshi
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom