mwallu
JF-Expert Member
- Sep 5, 2013
- 6,787
- 4,210
- Thread starter
- #501
mweke kwenye matazamio kwanza..
mie napenda uwe na furaha mdogo wangu..halafu Kaizer ndo aliniachia majukumu makubwa sana..ila nimeyakamilisha
mie napenda uwe na furaha mdogo wangu..halafu Kaizer ndo aliniachia majukumu makubwa sana..ila nimeyakamilisha
usijali my sis pole na majukumu mwambie Eiyer aongeze watumishi hapo msaidiane kuhesabu sadaka
mhhhhh kwa heshima yako acha nimpe mda kama ulivyosema.lakini mambo aliyoyafanya sis mhhhhhhhhh
Last edited by a moderator: