Red black
JF-Expert Member
- Nov 29, 2019
- 5,962
- 17,648
hahahahaNdiyo ni pisi hiyo.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
hahahahaNdiyo ni pisi hiyo.
Kunani inaonekana kuna kitu?hahahaha
Kwahio hii ndio inasibitisha kuhudumia furaha ya mwanaume.njoo nikuhonge usiteseke na kutafuta hela
we si umesema hutak kuteseka???Kwahio hii ndio inasibitisha kuhudumia furaha ya mwanaume.
Makarios ya sensor neurones nyingi kuliko mkono, ukimminya kalio mwanamke hisia kwake zinakuwa kubwa kuliko kwako.Acha masihara mkuu! Huwa wanasikia raha?
Kwahio hii ndio inathibisha furaha ya mwanaume kuhudumia.we si umesema hutak kuteseka???
sawa tulia sasa tukuhudumie si umesurreender😂😂
furaha ni kuweza kulisha mtu na kuprivide wakat si wote wanaweza!!Kwahio hii ndio inathibisha furaha ya mwanaume kuhudumia.
Ningeandika mengi ya ajabu ila nimechoka sana. Poleni sanaKiruuu chandeng'aaa mekuu stop being delusional
Umeona hasara za kutokuwa mwanaume hizo! Wanaume huwa hatuchoki😕Ningeandika mengi ya ajabu ila nimechoka sana. Poleni sana
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] poleeeni kwa maumivuu.Tukimshika pisi hata kama ni ass tu raha kama yote[emoji23] kwa hiyo hatuwez teseka.
hii ilikua ni adhabu lakini kujifanya shinda maumivu, (shinda maumivu kuruta in afande voice)Kwahio hii ndio inathibisha furaha ya mwanaume kuhudumia.
Wazungu walilifahamu hilo ndio maana waliingiza agenda ya 50/50 ili kuidhoofisha nguvu ya mwanaume kwenye jamii...Leo hii fursa nyingi kama ajira Na mambo mengine vimeelekezwa kwa wanawake ili kummaliza kabisa mwanaume 😎 Na kama haitoshi wametuletea Na ushogaHabari wakuu.
Sisi WANAUME tumepewa mamlaka makubwa sana na mwenye mamlaka.Hivyo basi wewe ni mwanaume kwahiyo furahia kuwa hivyo kaka.
Unatafuta pesa kwa akili nyingi ili Mama,baba,Mke,watoto na ndugu ili wapate msaada wako asee sio kazi ndogo kaka.
Umetulia unawaza mambo yako unaskia simu inaita kuangalia ni namba ngeni baada ya kupokea unaskia sauti ya ex wako analalamika anataka mrudiane,unaamua kukata simu na kuwa busy na mawazo yako kaka.
Kuwa mwanaume ni furaha sana mana nguvu kuu inakuchagua wewe ndio tegemezi la familia kwahiyo kila MTU atakuangalia wewe kwa shida zake,utaanza kulalamika kwanini kila kitu ni mimi..!! Asee kaka wewe Ni nguvu ndio mana umechaguliwa na umeonekana unaweza na Wewe Ni mwanaume kwahiyo usilalamike wala kulialia kaka.
Mke anakusubiri urudi kazini hizo nyakati za usiku wakati mwingine anapitiwa na usingizi kukusubiri mume wake mana bila wewe afurukuti kaka.
SISI WANAUME NI NGUVU KUBWA KATIKA HII DUNIA.
Maumivu gan? Acha kujidanganya girl! Mwanaume hawez teseka fikiria mara mbili😕[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] poleeeni kwa maumivuu.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] sasa hizi kelele za vilio vya nn?Maumivu gan? Acha kujidanganya girl! Mwanaume hawez teseka fikiria mara mbili[emoji53]
😁😁😁 Shinda maumivu zingine ni bla bleeeUmeona hasara za kutokuwa mwanaume hizo! Wanaume huwa hatuchoki😕
Ukiona mwanaume anafungua threads kama hizi ni either anatafuta attention au anapoteza muda.Umewah sikia mwanaume analilia mtaani anateseka kwasababu ya pisi?[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] sasa hizi kelele za vilio vya nn?
Hoja yako haithibishi kuwa hii ni furaha ya mwanaume bali furaha ya ku-achieve kitu ambacho ngumu kukifikia ukikifikia unafurahi.furaha ni kuweza kulisha mtu na kuprivide wakat si wote wanaweza!!
au furaha huioni?
furaha inakuja baada ya kukamilisha ambacho wengine hawawezi
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] mbona mara nyingi tyuu.Ukiona mwanaume anafungua threads kama hizi ni either anatafuta attention au anapoteza muda.Umewah sikia mwanaume analilia mtaani anateseka kwasababu ya pisi?
Inashangaza pale pisi anajifanya anamjua mwanaume😂😂😂 I have had enough of this nonsense am out.😁😁😁 Shinda maumivu zingine ni bla bleee