Furahieni, shangilieni lakini mtambue Tanzania hakuna separation of Powers na mtu mmoja anaweza kuikanyaga katiba anavyotaka kwa manufaa yake.

Furahieni, shangilieni lakini mtambue Tanzania hakuna separation of Powers na mtu mmoja anaweza kuikanyaga katiba anavyotaka kwa manufaa yake.

Muuza Kangala

JF-Expert Member
Joined
Jul 21, 2021
Posts
1,242
Reaction score
4,813
Katiba yetu kwenye ibara ya nne ipo wazi kwa kugawa madaraka kwenye mihimili mitatu. Na hii yote ni kuhakikisha kuwa mtu mmoja kuwa kiongozi wa mhimili mmoja na kisha kuwa na madaraka ya kuamua lolote anavyotaka kwa udikteta.

Ndio maana kuna Executive, Bunge na mahakama. Sasa kama mkuu wa serikali kuu atakuwa na madaraka na mamlaka kiasi cha mhimili mingine haiwezi kuhoji anachofanya basi tunakwenda pabaya sana. Mtakuja kukumbuka baada ya kulia.
 
Katiba yetu kwenye ibara ya nne ipo wazi kwa kugawa madaraka kwenye mihimili mitatu. Na hii yote ni kuhakikisha kuwa mtu mmoja kuwa kiongozi wa mhimili mmoja na kisha kuwa na madaraka ya kuamua lolote anavyotaka kwa udikteta.

Ndio maana kuna Executive, Bunge na mahakama. Sasa kama mkuu wa serikali kuu atakuwa na madaraka na mamlaka kiasi cha mhimili mingine haiwezi kuhoji anachofanya basi tunakwenda pabaya sana. Mtakuja kukumbuka baada ya kulia.
Sukuma gang mtalia sana kilio cha mbwa mwizi
 
Mambo yameenda hivi..
 
Katiba yetu kwenye ibara ya nne ipo wazi kwa kugawa madaraka kwenye mihimili mitatu. Na hii yote ni kuhakikisha kuwa mtu mmoja kuwa kiongozi wa mhimili mmoja na kisha kuwa na madaraka ya kuamua lolote anavyotaka kwa udikteta.

Ndio maana kuna Executive, Bunge na mahakama. Sasa kama mkuu wa serikali kuu atakuwa na madaraka na mamlaka kiasi cha mhimili mingine haiwezi kuhoji anachofanya basi tunakwenda pabaya sana. Mtakuja kukumbuka baada ya kulia.
Tanzania inaangamizwa na watu wanafiki kama wewe,huyo mtu mmoja kukanyaga katiba ndio inaanzia kwa Ndugai?tumeshazoea sasa na hapa furaha ni kuona mashetani yanararuana
 
Ndio maana kuna Executive, Bunge na mahakama. Sasa kama mkuu wa serikali kuu atakuwa na madaraka na mamlaka kiasi cha mhimili mingine haiwezi kuhoji anachofanya basi tunakwenda pabaya sana. Mtakuja kukumbuka baada ya kulia.


Kwenye hili suala Ndugai ilibidi akomae na kauli yake ya mwanzo iwe alikosea au hakukosea ingejulikana muhimili anaousimamia umeamua hivi tatizo lake la kuongozwa na njaa kuomba omba msamaha hovyo ndo hili ombwe la kimadaraka linaonekana.

Angekaza kiume kama kumvua uspika wamvue haya sasa kiko wapi!!!msamaha ameomba ameona haitoshi amejitumbua mwenyewe inachekesha sana.
 
Katiba yetu kwenye ibara ya nne ipo wazi kwa kugawa madaraka kwenye mihimili mitatu. Na hii yote ni kuhakikisha kuwa mtu mmoja kuwa kiongozi wa mhimili mmoja na kisha kuwa na madaraka ya kuamua lolote anavyotaka kwa udikteta.

Ndio maana kuna Executive, Bunge na mahakama. Sasa kama mkuu wa serikali kuu atakuwa na madaraka na mamlaka kiasi cha mhimili mingine haiwezi kuhoji anachofanya basi tunakwenda pabaya sana. Mtakuja kukumbuka baada ya kulia.

Naona unashambuliwa na wachangiaji lakini ni kwa sababu hawajaelewa dhana yako!! Ulichokieleza ndicho kinatokea na ndio hatari ya Taifa hili. Sheria zinatungwa na wanasiasa na kupitishwa bungeni (mhimili mwingine) na zinasainiwa Rais (mhimili mwingine) ili sasa ziwe sheria!! Bila Rais kusaini inabaki kuwa sio sheria na haiwezi kutekelezwa. Hii ni wazi mhimili huu wa Rais ni wa juu kuliko Bunge!! Lakini tunarudi tena Budget ambayo bure linaiita sheria, haisainiwi na Rais lakini anaweza asiitelekeze na Bunge siliweze kuhoji!!! Rais haojiwi na Bunge kwa sababu ya imani ya taasisi yake kuwa juu ya Bunge!! Kama Rais anachagua kuanzia Jaji Mkuu na majaji na kuwaapisha - Mahakama inakuwaje muhimili huru???

Tuna katiba yenye matatizo! Nyerere alikuwa sahihi, dikteta anaweza kutumia katiba yetu kukandamiza nchi na mifumo yake na bado akawa yuko sahihi kwa mujibu wa katiba!
 
Hayo ndiyo sukuma gang walikuwa wanaona ufahari

Unafiki ni hulka ya wengi huko
Wanamfanya mtu ajinadi kama kiranja wa malaika na wakuu wa dini zote nao ni wanafiki wakubwa pia

Unamuogopa binadamu badala ya Mungu
Yaani hao watu wanatia kichefuchefu
Genge nalo limekufa
 
Back
Top Bottom