Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Afu kama hupati updates haina tofauti na mitecnoAndroid 9.1 mpaka leo?
Vivo amambona mimi kwangu bado
nimeipata jana shukrani kwa kutushituaVivo ama
Mpaka sasa juna mabadiliko matatu nimegundua mapya,Tuanze kwanza kwa kutumia nini ( feature) gani mpya ya muhimu ilioongezeka ambayo ulikua huna awali .Kiufupi kifaa chochote kuanzia android nane mpka hii kumi na moja natumia ila ule u upgrade wa kweli upo kutoka 8 ( oreo) kama sikosei kwenda 10
Pamoja mzeenimeipata jana shukrani kwa kutushitua
Duuh yaan hizo feature ziko miui miaka minne au mitatu sasa iliopitaMpaka sasa juna mabadiliko matatu nimegundua mapya,
1. Drawer style haikuepo mwanzoni
2. System nevigation imeongezwa ile ambayo ni hiden
3. Easy touch imewekwa vitu vitam sana
Mabadiliko ni mengi sana
Najua ww mzee wa MIUI lakini simu huwa zenu mnatengenezea wap?Duuh yaan hizo feature ziko miui miaka minne au mitatu sasa iliopita
Kivipi sijakuelewa mzeeNajua ww mzee wa MIUI lakini simu huwa zenu mnatengenezea wap?
Kibongo bongo kuna mafundi wake simu zikiaribika?Kivipi sijakuelewa mzee
Simu inakosaje fundiKibongo bongo kuna mafundi wake simu zikiaribika?
VifaaSimu inakosaje fundi
Hoja dhaifu hio uweze agiza kitu cha laki mbil au milion ushindwe agiza kifaa chake kwa online ,na hapo ndio watu wanapouziwa adi mavitu ya ajab kisa tu eti anahofu yakupigwaVifaa
Nimekusoma kakaHoja dhaifu hio uweze agiza kitu cha laki mbil au milion ushindwe agiza kifaa chake kwa online ,na hapo ndio watu wanapouziwa adi mavitu ya ajab kisa tu eti anahofu yakupigwa
Iko hivi mkuu...fundi yyote ambae yuko serious basi hapitwi na jambo...ni aibu kujiita fundi alafu ukiletewa oppo utoe password useme hujui...Najua ww mzee wa MIUI lakini simu huwa zenu mnatengenezea wap?
Unaamsha niniIko hivi mkuu...fundi yyote ambae yuko serious basi hapitwi na jambo...ni aibu kujiita fundi alafu ukiletewa oppo utoe password useme hujui...
Hivyo basi simu zote zinatengenezeka bila kujali brands..na mafundi wapo..mimi sio fundi simu ila naamsha viveo vya brand tofaut tofaut..
Naamsha popo mkuu[emoji3]Unaamsha nini