Sashel
JF-Expert Member
- Mar 6, 2012
- 212
- 84
wale madereva taxi airport hawataki kusikia habari ya shuttle na wengi wao ni WACHAWI a.k.a VIGAGULA ukijidai unaingiza Shuttle mule ndani airport tarajia kugeuzwa CHIZI
Ahahaha.. wakati ukifika hakuna kitachozuia not even satan himself