Wajasiriamali hebu kamateni fursa ya kuanzisha Airport Shuttle mnaanzia pale Airport na ku-drop watu ama Ubungo/mwenge/Tegeta halafu nyingine ielekee Temeke/Mbagala/Kongowe na nyingine Kimara/Kibamba maana kuchukua taxi za Airport ni maumivu pia kukwea boda boda/bajaj sasa hiv zishakatazwa