Fursa gani zinadharauliwa lakini zinaweza kukutoa kimaisha?

Kulima vegetable aina gani?
 
Uuzaji wa samaki toka mkoani kwenda dar Kariakoo na masoko mengineyo, inalipa mno!
Hasa maeneo ya Manzese Madizini kuna fursa kubwa sana mtaji wako ni baiskeli
 
Mkuu unaweza kutolea maelezo hapo kwenye online video games inakuaje?
 
Niaje
kaka niaje naweza kupata contact zako tuwasilianr naona nimeielewa hii biashara
 
Kuna kamji flani niliwahi kupita. Kuna wamama na wadada wanafanya biashara ya uji jioni, nilipokaa na kuongea na dada mmoja aliniambia kwa siku anaweza laza mpaka 15,000/= faida.
 
Jamani kuna kuku nimeona hapa south Africa ni wakubwa sio kawaida. Paja kama la mtoto mchanga !!! Sijui kwa nini hii mbegu haijaletwa bongo?
 
Kila sIku nafikiria kuanzisha biashara ya kukaanga mihogo maeneo ya Posta. Mihogo yenyewe inaweza kuwa sio fursa sana ila fursa itakuwa kwenye matangazo ya hiyo muhogo.Nitatangaza kuwa mihogo hii inaongeza nguvu za kiume. Hapo ndipo fursa ilipo..
[emoji1] [emoji2]
 
Biashara zote zina uzito sawa kiuwajibikaji. Biashara zote zina fursa sawa za kukupa mafanikio. Biashara zote zinahitaji kiwango sawa cha uwekezaji ili kukupa kiwango cha mafanikio unayoyataka. Biashara zote zina nafasi ya kukua kutoka hatua moja hadi nyingine. Biashara zote zinawezekana kufanikisha malengo yangu kwa kuzingatia wakati, mazingira, soko lengwa na jinsi ulivyojidhatiti kuiendesha biashara yako.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…