hilo eneo mkuu, hatauza kabisaInategemea kazi yenyewe na eneo la kuuzia hizo chipsi, sio uache halafu
uanze kuchoma chipsi kule kwenu Mwanagati/Nyantila
Kulima vegetable aina gani?fursa zinatofautiana kulingana na mahali ulipo, ila hii isikupite: kufuga samaki, kulima vanilla, kulima vegetables, kuwaagizia watu mizigo nje ya nchi kwa faida, kumiliki frames za kukodisha kwa wafanyabiashara, kulima vitunguu saumu na tangawizi, etc
Hasa maeneo ya Manzese Madizini kuna fursa kubwa sana mtaji wako ni baiskeliUuzaji wa samaki toka mkoani kwenda dar Kariakoo na masoko mengineyo, inalipa mno!
Mkuu unaweza kutolea maelezo hapo kwenye online video games inakuaje?Industry yenye moto ss iv ni e-sports ( online video game competition) video games kwa ujumla, artificial intelligence na crypto currencies, kwa kifupi kutatua changamoto za watu kwa kutumia technolojia.Kati ya hizi nilizotaja mm nimewekeza kwenye video games, zina addiction viby kwaiyo pesa zinanifata tu zenyewe. Toka nimeanza hii wiki ya tatu nahisi, minimum kwa siku haishuki chini ya 40k.
Hii ni kweli kabisa hasa maeneo ya masokonihuduma ya choo cha kulipia
kaka niaje naweza kupata contact zako tuwasilianr naona nimeielewa hii biasharaJaribu ku google most expensive liquid/scorpion vernom wanatumia kutengenezea insulin na mambo kibao nikikutajia bei ya lita tano ya hiyo sumu ya n'nge hutoamini kwa kifupi wanunuzi wanakufata wenyewe sasa kuna mibongo naielezea hapo juu hainielewi imekariri biashara ni kuuza mitumba inasikitisha sana
KaribuNashukuru nitakutafuta mkuu
[emoji1] [emoji2]Kila sIku nafikiria kuanzisha biashara ya kukaanga mihogo maeneo ya Posta. Mihogo yenyewe inaweza kuwa sio fursa sana ila fursa itakuwa kwenye matangazo ya hiyo muhogo.Nitatangaza kuwa mihogo hii inaongeza nguvu za kiume. Hapo ndipo fursa ilipo..
....kwa rear plate numberKwa mdada ni lazima yaishe haraka sana hasa kama ana nyama za kutosha huko kwa plate number.
Nikumbushe kisa kimoja cha ukweli kabisa ingawa ni cha siku nyingi. Yupo mchaga mmoja ambaye alikuwa amebahatika kupata ajira hapa Jijini, baada ya muda fulani akaamua kutafuta sehemu ambayo alifungua banda la chipsi. Alimwita mdogo wake kutoka nyumbani Moshi akamweka hapo. Baada ya Muda fulani yule bwana akapata Likizo, akaamua kumsaidia mdogo wake shuguli za chips.
Kwa mapato aliyoyaona muda huo mfupi akashtuka sana, akaamua kuacha kazi ili afanye
biashara hiyo ya Chipsi jambo ambalo lilileta mzozo na baba yake mzazi ambaye hakukubaliana kabisa na mpango huo huku akisisitiza kuwa yeye hakumsomesha aje kuuza chipsi.
Yule mchaga hakukubali, akaacha kazi na akafungua 'senta' nyingine ya Chipsi.....
Tuachane na huyo mchaga hebu nirudi kwenu wadau naomba tupeane uzoefu hapa
ni fursa gani ambazo macho ya kawaida haizioni kuwa Fursa za maana lakini zinaweza
kukupaisha Kimaisha?
Biashara zote zina uzito sawa kiuwajibikaji. Biashara zote zina fursa sawa za kukupa mafanikio. Biashara zote zinahitaji kiwango sawa cha uwekezaji ili kukupa kiwango cha mafanikio unayoyataka. Biashara zote zina nafasi ya kukua kutoka hatua moja hadi nyingine. Biashara zote zinawezekana kufanikisha malengo yangu kwa kuzingatia wakati, mazingira, soko lengwa na jinsi ulivyojidhatiti kuiendesha biashara yako.Haha ha ha ha ha Watu wanawachukulia kuku Rahisi sana!! Kuku wanalipa sana lakini
sio mtaji wa kitoto ule, Inatakiwa ukaze msuli kwelikweli uache mambo yako mengi na
uwe na 'usiriasi' hautaki masihara, nikianza kuelezea hapa ninavyowajua wanJF wataanza
kuniuliza kwanini umeacha kufuga.