Fursa gani zinadharauliwa lakini zinaweza kukutoa kimaisha?

Sasa Mbona Unataja Tuu Fursa umeziona lakini Huzitaji?
Taja Mkuu tuchangie Hapa,unasema umeviona vitu unavyoweza kuvifanya maeneo ambayo Watu hawafikirii Kabisa sema basi Mkuu Nasi tutoe Mawazo yetu huenda Tukachangia nawe ukafaidika!
Mkuu mimi nafunguka mengi humu JF tena uzi wangu mwingine ulikuwa Juzi tu
hapa, mpaka INBOX yangu ikaanza kufurika sasa hapa nawapa nafasi na wadau
wengine wafunguke.
 
Mnaifahamu INTERNET???
Basi INTERNET ina fursa nyingi sana basi tu watu tunaitumia kuingia JF, instagram na WhatsApp.
Fursa mojawapo ni kuwekeza katika Cryptos. Watu wanaziita scam business, basi tu ni vile hawana right information at the right time.
 
Tafuta kijiji chenye shida ya maji na kiwe karibu na vijiji vingine ambavyo vina tatizo kama hilo,, fanya upelelezi kuhusu mpango wa Serikali kwenye suala la maji kwa maeneo hayo.. kama haina mpango wa kuleta maji au mipango yao ni ya muda mrefu sana basi piga makofi kwa visigino..
Tafuta wataalam wa uchimbaji wa visima virefu wafanye survey kama eneo hilo lina uwezo wa kupatikana maji basi chimba na anza kupiga pesa.
NB: Uwe na mtaji wa kutosha kuweza kununua eneo, kuchimba kisima na ikiwezekana uwe na gari la kusupply maji kwenye vijiji vya jirani.
 
[emoji2] [emoji2] [emoji2]
Jamaa anachukulia poa ila mziki wake Sio wa kitoto!
Kuku wanakula Sio mchezo!!
Ukimuachia mtu ahudumie unaweza hisi ameuza chakula [emoji23]
 
Mkuu funguka tu bila kujali reactions za wanajukwaa, utakuwa umechangia kutoa elimu ya ufugaji kuku
 
Mkuu funguka tu bila kujali reactions za wanajukwaa, utakuwa umechangia kutoa elimu ya ufugaji kuku
 
[emoji2] [emoji2] [emoji2]
Jamaa anachukulia poa ila mziki wake Sio wa kitoto!
Kuku wanakula Sio mchezo!!
Ukimuachia mtu ahudumie unaweza hisi ameuza chakula [emoji23]
Nimefuga kuku aina ya kroiler aisee wale ndege wanakula sijapata kuona nashukuru nimeweza kuwatoa wote na sasa nataka nihamie kwenye kuku wa nyama(broiler).
 
Kila sIku nafikiria kuanzisha biashara ya kukaanga mihogo maeneo ya Posta. Mihogo yenyewe inaweza kuwa sio fursa sana ila fursa itakuwa kwenye matangazo ya hiyo muhogo.Nitatangaza kuwa mihogo hii inaongeza nguvu za kiume. Halo ndipo fursa ilipo..
NAKUUNGA MKONO 100%
Uandae na mchanganyiko mzuri wa viungo.Tena ukichelewa utanikuta nimeshaanza kukaanga.
 
We GAZETI ebu usitunyime hiyo elimu ya kuku,kulikoni uliamua uache kufuga? natamani sana kusikia chochote juu hilo,na ulifuga kuku gani?
Sina maana kwamba ni Project mbaya, ni mradi ambao umenitoa sana
kuacha kulikuja baada ya kuingia kwenye mambo ya kusafiri safiri hata
hivyo naandaa mazingira Bora zaidi ya Ufugaji, mimi ni miongoni mwa watu
wa mwanzo kuleta mada za ufugaji wa kuku humu jukwaani.
 
Haswaa GAZETI hata mwenyewe nilikuwa nashangaa ni kitu gani kimemkuta huyu legendary wa ufugaji wa kuku? wakati hapa karibuni nimeubamba uzi fulani wa miaka ya nyuma huko wa kuku wa kienyeji na uliplay part kubwa sana kutoa elimu hiyo ya ufugaji,basi sasa amani imerejea maana hapa nipo kudraft wazo la ufugaji kuku wa kienyeji kwa kutumia madini yako na ya bwana Kubota naimani kwa elimu yenu ile iliyotukuka hakika mwezi kama huu nitakuwa mtu tofauti na mwaka huu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…