biashara nyingi zinahitaji frem..sio zote ila nyingi....na sio frem tu...ni frem iliyo location muhimu..sio iliyojificha ficha...
kuna frem inapangishwa
SIFA ZA HII FREM
**frem iko barabarani, main road kabisa
**frem ni kubwa sana pana na imeingia ndani
**frem ina ubaraza mkubwa sana kiasi kwamba unaweza tenga ukaweka biashara mbili tofauti katika eneo moja...
**umeme mnashare watu wawili tu
**maji yako hapohapo
**frem tayari ina kodi ya miezi 8 sasa hivi iliyobakia
**kodi ya frem kwa mwaka ni milioni 5 tu....ukizingatia ukubwa wake na location hiyo kodi ni ndogo.
BIASHARA ZINAZOFAA KATIKA HII FREM
kutokana na ukubwa wake basi kwenye hii frem zinafaa biashara kubwa kubwa mfano
--vifaa vya ujenzi
--mgahawa/restaurant kubwa
--vifaa vya umeme
--kuweka ofisi kubwa kama zile za mikopo
--kuweka salon kubwa kama ya kike au barbershop
--biashara ya matairi
--biashara ya spare za nagari au pikipiki
AU
***** unaweza fungua biashara mbili tofauti kwa wakati mmoja kwa sababu eneo ni kubwa...mfano upande mmoja ukaweka duka la nguo na upande mwingibe ukaweka duka la urembo ama vipodizi ama simu au chochote
BEI YA KUMTOA MWENYE HII FREM
Bei inayohitajika ni milion 20 tu....hii inamaana kodi iko humohumo
kwa hiyo ukitoa m20 utaendelea kutumia hiyo frem mpaka hiyo miezi 8 iishe ndo utaendelea kulipa kodi kama kawaida ya m5 kwa mwaka...
anayeiachia ametaka m20 kwa sababu ameiboresha ameweka vitu vingi hapo..
kama unaihitaji au unamjua anayeihitaji nipigie au nitumie ujumbe wa sms....mimi sio dalali..mimi ndo mwenye frem kwa sasa hiv...
Karibu uje uikague uangalie ilipo location na ukubwa wake
MAHALI INAPOPATIKANA
Mwanza mjini kabisa katikati
MAWASILIANO
0744597493
kuna frem inapangishwa
SIFA ZA HII FREM
**frem iko barabarani, main road kabisa
**frem ni kubwa sana pana na imeingia ndani
**frem ina ubaraza mkubwa sana kiasi kwamba unaweza tenga ukaweka biashara mbili tofauti katika eneo moja...
**umeme mnashare watu wawili tu
**maji yako hapohapo
**frem tayari ina kodi ya miezi 8 sasa hivi iliyobakia
**kodi ya frem kwa mwaka ni milioni 5 tu....ukizingatia ukubwa wake na location hiyo kodi ni ndogo.
BIASHARA ZINAZOFAA KATIKA HII FREM
kutokana na ukubwa wake basi kwenye hii frem zinafaa biashara kubwa kubwa mfano
--vifaa vya ujenzi
--mgahawa/restaurant kubwa
--vifaa vya umeme
--kuweka ofisi kubwa kama zile za mikopo
--kuweka salon kubwa kama ya kike au barbershop
--biashara ya matairi
--biashara ya spare za nagari au pikipiki
AU
***** unaweza fungua biashara mbili tofauti kwa wakati mmoja kwa sababu eneo ni kubwa...mfano upande mmoja ukaweka duka la nguo na upande mwingibe ukaweka duka la urembo ama vipodizi ama simu au chochote
BEI YA KUMTOA MWENYE HII FREM
Bei inayohitajika ni milion 20 tu....hii inamaana kodi iko humohumo
kwa hiyo ukitoa m20 utaendelea kutumia hiyo frem mpaka hiyo miezi 8 iishe ndo utaendelea kulipa kodi kama kawaida ya m5 kwa mwaka...
anayeiachia ametaka m20 kwa sababu ameiboresha ameweka vitu vingi hapo..
kama unaihitaji au unamjua anayeihitaji nipigie au nitumie ujumbe wa sms....mimi sio dalali..mimi ndo mwenye frem kwa sasa hiv...
Karibu uje uikague uangalie ilipo location na ukubwa wake
MAHALI INAPOPATIKANA
Mwanza mjini kabisa katikati
MAWASILIANO
0744597493