maji ya gundu
JF-Expert Member
- Oct 7, 2018
- 3,070
- 4,698
habarini wakuu poleni na majukumu ya kujenga taifa, natumai mu wazima wa afya
Niende moja kwa moja kwene mada japo asimia sabini hii mada itakua anawahusu mafundi
jana nimeongea na sir god throught ndoto akanambia kutokana na kua siku za mwisho zinakaribia anaomba nimsaidie kutengeneza hekalu kubwa sana ili watu wake wanaotenda mema wapate sehemu salama ya kukaa pindi atavo wachukua
nikaona isiwe kesi niwape nafasi mafundi wezangu ili tugawane hicho hicho kidogo kinachopatikana
mafundi wanaohitajika ni pamoja na
Welding: hawa wanaitajika wawe wa kwanza ili waende wakatutengenezee camp
wahashi: hawa ni muhimu sana kwa sababu hawa ndo watengenezaji wa hekalu
maseremala: hawa inabidi wakanipaulie hekalu litoke vizuri sana ili sir god akiwa na dili nyingine atushituwe
warangi:hawa ndo wapendeshaji wa hekalu wenyewe
Hiyo ni fursa kwa mafundi wote
NB:tufanye hiyo kazi vizuri maana ata shetani anaweza akatupatia kazi ya kujenga sehemu ya kuchomea mishkaki ya binadamu
Niende moja kwa moja kwene mada japo asimia sabini hii mada itakua anawahusu mafundi
jana nimeongea na sir god throught ndoto akanambia kutokana na kua siku za mwisho zinakaribia anaomba nimsaidie kutengeneza hekalu kubwa sana ili watu wake wanaotenda mema wapate sehemu salama ya kukaa pindi atavo wachukua
nikaona isiwe kesi niwape nafasi mafundi wezangu ili tugawane hicho hicho kidogo kinachopatikana
mafundi wanaohitajika ni pamoja na
Welding: hawa wanaitajika wawe wa kwanza ili waende wakatutengenezee camp
wahashi: hawa ni muhimu sana kwa sababu hawa ndo watengenezaji wa hekalu
maseremala: hawa inabidi wakanipaulie hekalu litoke vizuri sana ili sir god akiwa na dili nyingine atushituwe
warangi:hawa ndo wapendeshaji wa hekalu wenyewe
Hiyo ni fursa kwa mafundi wote
NB:tufanye hiyo kazi vizuri maana ata shetani anaweza akatupatia kazi ya kujenga sehemu ya kuchomea mishkaki ya binadamu