Fursa kwa Watanzania wanaolima Mboga wanaotaka kuzisafirisha Ulaya, Pitieni hapa

Fursa kwa Watanzania wanaolima Mboga wanaotaka kuzisafirisha Ulaya, Pitieni hapa

Money Stunna

JF-Expert Member
Joined
Aug 9, 2011
Posts
13,053
Reaction score
6,304



Kwa wale wote mnaolima mboga mnaotaka msaada namna ya kusafirisha ulaya muwasiliane na huyu kijana Machel Tarimo, Mkurugenzi na mmoja kati ya watatu waanzilishi wa HomeVeg Tanzania Ltd, aliyekuwa katika studio ya ITV mwishoni mwa mwaka jana kwenye kipindi cha Vijana na Kilimo Biashara akielezea alivyofanikiwa kwenye kusafirisha mbogamboga kwenye masoko ya Ulaya.

Kwa mawasiliano zaidi na Machel piga namba 0786683212.





Natumaini wale wadau wa umu JF watatumia fursa hii vizuri..
 
asante sana mkuu kwa kitu kizuri kama hichi aisee ngoja nitumie fursa hii haraka
 
Haya vijana changamkieni fursa hizo, halafu hoo Tanzania hakuna fursa, wakati fursa zimejaa.
 
Twende taratibu ndugu mbona waharakisha hivyo...
Money Stunna katoa mwangaza tu wa nini watu wafanye kutafuta soko la mbogamboga kupitia huyo bwana aliyekwisha fanikiwa tayari...

Lakini wewe ukaenda mbali zaidi ukisifia kuwa hayo aliyoeleza Stunna ni faida ya fursa zilizopo Tanzania...

Sasa nakuuliza tena soko la hizo mboga mboga lipo Tanzania?

Kama halipo Tanzania hiyo fursa unayohubiri ni ipi sasa?

Au hujui uhusiano wa fursa na soko usaidiwe?

Money Stunna kajitahidi, kakuwekea mpaka namba ya simu ya kupiga ukiwa na haja ya kujuwa zaidi, wacha kiherehere, soma vizuri post #1 .
 
Last edited by a moderator:
Twende taratibu ndugu mbona waharakisha hivyo...
Money Stunna katoa mwangaza tu wa nini watu wafanye kutafuta soko la mbogamboga kupitia huyo bwana aliyekwisha fanikiwa tayari...

Lakini wewe ukaenda mbali zaidi ukisifia kuwa hayo aliyoeleza Stunna ni faida ya fursa zilizopo Tanzania...

Sasa nakuuliza tena soko la hizo mboga mboga lipo Tanzania?

Kama halipo Tanzania hiyo fursa unayohubiri ni ipi sasa?

Au hujui uhusiano wa fursa na soko usaidiwe?

Ewe punguani, hizo mboga Tanzania utaziuza kwa pesa za madafu, ukiziweka katika viwango kama anavyofanya huyo kijana hapo post #1 utaziuza nje kwa pesa za kigeni na faida ya juu zaidi.

Kila kitu mpaka upikiwe, upakuliwe, umezeshwe? hautumii akili zako hata kiduchu? zitadoda, kama bado.

Halafu mnamsema Kikwete alipowashangaa kuwa hajui Watanzania kwanini ni masikini! Alisita kusema tu, ni wajinga.

Hivi hiyo shule ulienda kusomea ujinga?
 
Ewe punguani, hizo mboga Tanzania utaziuza kwa pesa za madafu, ukiziweka katika viwango kama anavyofanya huyo kijana hapo post #1 utaziuza nje kwa pesa za kigeni na faida ya juu zaidi.

Unaona sasa udumavu wa ubongo wako unapoonekana, maana unafafanua vizuri kabisa lakini kwenye hitimisho unaishia kuharibu...

Hivi hadi sasa akili yako haijakupa mwangaza kuwa ughaibuni ndipo ilipo fursa na hata katika maandishi hayo mekundu umekiri...

Tatizo lako FF huwa wajiona wajua kila kitu kwa kuwa u mjinga...

Mjinga ni mtu yule asiyetaka kujifunza kutoka kwa wengine...

Kila kitu mpaka upikiwe, upakuliwe, umezeshwe? hautumii akili zako hata kiduchu? zitadoda, kama bado.

Wewe unayedhani unajua kuliko wote mbona waulizwa utoe jibu la waja na lugha za kejeli?

Halafu mnamsema Kikwete alipowashangaa kuwa hajui Watanzania kwanini ni masikini!

Kikwete katokea wapi tena huku?

Na kwa taarifa yako tu huyo rais wako hakuwashangaa Watanzania bali alishangaa umasikini wa nchi ya Tanzania ambayo yeye ndio kiongozi...(FYI: Hebu rejelea vyema mahojiano yake na idhaa ya Kiswahili ya BBC)

Alisita kusema tu, ni wajinga.

Alisita kubainisha kuwa yeye ni mjinga...

Hivi hiyo shule ulienda kusomea ujinga?

Hili swali lakufaa wewe unayeshindwa kutambua maarifa madogo ya kuonanisha neno fursa na soko la nje...
 
Unaona sasa udumavu wa ubongo wako unapoonekana, maana unafafanua vizuri kabisa lakini kwenye hitimisho unaishia kuharibu...

Hivi hadi sasa akili yako haijakupa mwangaza kuwa ughaibuni ndipo ilipo fursa na hata katika maandishi hayo mekundu umekiri...

Tatizo lako FF huwa wajiona wajua kila kitu kwa kuwa u mjinga...

Mjinga ni mtu yule asiyetaka kujifunza kutoka kwa wengine...



Wewe unayedhani unajua kuliko wote mbona waulizwa utoe jibu la waja na lugha za kejeli?



Kikwete katokea wapi tena huku?

Na kwa taarifa yako tu huyo rais wako hakuwashangaa Watanzania bali alishangaa umasikini wa nchi ya Tanzania ambayo yeye ndio kiongozi...(FYI: Hebu rejelea vyema mahojiano yake na idhaa ya Kiswahili ya BBC)



Alisita kubainisha kuwa yeye ni mjinga...



Hili swali lakufaa wewe unayeshindwa kutambua maarifa madogo ya kuonanisha neno fursa na soko la nje...

Mkuu huyo .. faiza foxy akili yke imedumaa yeye anachojua ni siasa tu sjui kama anajua kuzalisha mali, mimi huwa simuelewi
 
Last edited by a moderator:
Haya vijana changamkieni fursa hizo, halafu hoo Tanzania hakuna fursa, wakati fursa zimejaa.

Hebu wewe jaribu kufanya angalau akili yko itakuwa imepumzika na Kutwa kufikiria siasa...Mimi ntakupa mwongozo wa wapi utapata mashamba ufanye kilimo cha mbogamboga
 
Mkuu huyo .. faiza foxy akili yke imedumaa yeye anachojua ni siasa tu sjui kama anajua kuzalisha mali, mimi huwa simuelewi

hata siasa hajui....mkiendeleza kumchokonoa atageuza post kuwa ya kidini
 
Nitampigia simu huyo Bwana mnufaika ili anipe hints za nini cha kufanya.
Wakuu Watu8 na FaizaFoxy msituharibie uzi jamani pengine nyie sahz mnaandika mkiwa kivulini wakati wenzenu tupo juani tunataabika na kilimo na tuvizalishavyo havina soko.
 
Last edited by a moderator:
Hebu wewe jaribu kufanya angalau akili yko itakuwa imepumzika na Kutwa kufikiria siasa...Mimi ntakupa mwongozo wa wapi utapata mashamba ufanye kilimo cha mbogamboga

Mkuu embu funguka kuhusu hayo maeneo ya kulima mbogamboga, Achana na hao wanaopiga siasa. Tupe huo mwongozo
 
Nitampigia simu huyo Bwana mnufaika ili anipe hints za nini cha kufanya.
Wakuu Watu8 na FaizaFoxy msituharibie uzi jamani pengine nyie sahz mnaandika mkiwa kivulini wakati wenzenu tupo juani tunataabika na kilimo na tuvizalishavyo havina soko.

Huyo ff hajui ku hustle! Chief kama unalima mmbga mboga nafasi ndiyo hiyo.
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom