Money Stunna
JF-Expert Member
- Aug 9, 2011
- 13,053
- 6,304
Kwa wale wote mnaolima mboga mnaotaka msaada namna ya kusafirisha ulaya muwasiliane na huyu kijana Machel Tarimo, Mkurugenzi na mmoja kati ya watatu waanzilishi wa HomeVeg Tanzania Ltd, aliyekuwa katika studio ya ITV mwishoni mwa mwaka jana kwenye kipindi cha Vijana na Kilimo Biashara akielezea alivyofanikiwa kwenye kusafirisha mbogamboga kwenye masoko ya Ulaya.
Kwa mawasiliano zaidi na Machel piga namba 0786683212.
Natumaini wale wadau wa umu JF watatumia fursa hii vizuri..