Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tunajua tabia zenu
Wahuni hawa sitaki kuwasikia kabsaaaHalafu nyinyi ndio likitokea janga, mfano mwajiriwa kafariki, kufukuzwa kazi, ndio mnataka mlipwe kwenye mirathi ya marehemu,.... Riba zenu hamuweki wazi km CRDB, BOA, NMB mm si mshauri kabisa mteja kukopa kwenu nina experience kubwa
Acha uongo wahuni wakubwa nyieHapana kila kitu Kipo wazi nimeweka humu, lkn mtu akifa hatuendelei na Deni ila tunampatia ndugu yake ya pole kwasababu ni customer wetu na ikiwezekana tunashiriki kbs
Sent from my TECNO KA7 using JamiiForums mobile app
Hivi hukuona wakati tunapiga kelele kuhusu hiyo platnam[emoji1784][emoji1784] na platinum imo daah imekula kwangu...msaada
Sasa nifanyejeHivi hukuona wakati tunapiga kelele kuhusu hiyo platnam
Hao jamaa ni wahuni Sana
Ishakula kwako lazima ujutee mzee
Wanakuibia live
Shida ni nn boss?Nyinyi kabisa labda kwa wasiowajua bora kufanya Top up bank km NMB,CRDP ,EQUITY ,ABSA ila sio hawa
Sent using Jamii Forums mobile app
Shida ni nn boss?
Mkuu hii sio sahihi kutokana na sio kila mteja amekutwa na hii changamoto.Ninyi matapeli mikopo yenu huwa haiishi
#MaendeleoHayanaChama
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣HII NI KWA WATUMISHI WA SERIKALINI PEKEE
habari Banc ABC (African Banking Corporation) tunakukaribisha uweze kujipatia mkopo
Vigezo vya kupata mkopo wa fedha kwa watumishi wa Umma.
1. Uwe na copy ya kitambulisho cha kazi
2. Uwe na copy ya kitambulisho c'ha taifa.
3. Salary slip moja ya mwezi uliopita.
4. Bank statement (miezi mitatu)
5. Passport size moja tu.
Kima cha chini cha mkopo ni kuanzia Tsh. 500,000 na kima cha mwisho cha kukopa ni 40,000,000.
Muda wa marejesho ni kuanzia miezi 6 mpaka miezi 96 (miaka nane). Utachagua mwenyewe unahitaji mkopo wa muda gani.
Huduma ni popote Tanzania.
pia kwa wale wenye mikopo sehemu nyingine mfano taasisi zingine tunanunua au HESLB PIAinawahusu pia ukiwa na uhitaji tunauwezo wa kununua deni ulilokopa...
FAIDA ZA ABC
1.Hatuna loan process fee
2. Hatuna makato ya bima
3. Mteja anapata mkopo wake 24 mpk 48 hrs
4. Mchakato wote tunakufanyia huku ukiwa unaendelea na shughuli zako freely
5.Sio lazima Uwe na account banc ABC, tunakutumia hela kwenye account yako ulionayo, lkn pia tunakukaribisha sana.
Kwa,
mawasiliano zaidi piga 0656946198 Mahali popote ulipo unapata. Karibu sana normal text, call or wasap.
Thanks
Banc ABC
EASY LOAN
Sent from my TECNO KA7 using JamiiForums mobile app
Naona unatumia TECNO KA7 mkuuTupo mkuu mahali popote, ulipo tupo karibuni Sana
Sent from my TECNO KA7 using JamiiForums mobile app
Kila kitu kipo wazi boss katika huu uzi , nimeelezea kila kitu, na kuhusu taasisi zingine huwa hatupishan sana na abc tuna competitive advantages nyingi sana[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Mtatuulia WATUMISHI wetu jamani, khaahh!!!!
Unanikumbusha mkasa wa WALIMU NA PLATINUM, BAYPORT miaka ya 2005 mpaka 2010 mlivyowaliza... mtu anaambiwa interest 4% kwa mwezi YEYE anafikiria ni kwa mwaka!!!
Sasa na nyie kipengele cha interest anajiweka kiporo bila kukisema!!!! Mbona wenzenu akina CRDB, NBC NA NMB wanasema!!!!
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] haya WATUMISHI wetu kazikwenu!!!!
Hahahahh ni simu tu mkuu wangu kikubwa tupate kuwasiliana na wateja, kupost matangazo mbalimbali ili message iwafikieNaona unatumia TECNO KA7 mkuu