CHIEF PRIEST
JF-Expert Member
- Dec 13, 2021
- 11,635
- 21,347
.Hakika Chadema ni mpango wa mungu, mpaka ndege wa angani wanakipenda chama
CDM nao wamechoka tu.Umati wa mashabiki wa soka waliohudhuria game ya Simba dhidi ya Azam kwenye uwanja wa ccm Kirumba , leo umepata bahati ya Mtende ya kusikia moja kwa moja matangazo ya Kuhamasisha Maandamano hayo Jijini humo.
Twaha Mwaipaya kutoka Bavicha ndiye aliyeongoza kampeni hiyo kabambe.
Mashabiki wa Soka wameahidi kuhudhuria Maandamano hayo huku wakimshangilia kwa nguvu
Chadema na CCM wapo sawa kabisa, shida chadema wanaumia kukosa platform ya kula tu, ila ukiwapa sidhan kama watafanya tofaut na ccm ππππ₯Ila siasa bhana dah, juzi kati kwenye AFCON Chadema walipinga timu kuendeshwa kisiasa leo hii hao hao Chadema wanaona sawa kutangaza maandamano yao kwenye mpira
HayaCDM nao wamechoka tu.
CCM na Chadema ni pipa na mfuniko, wote wapigajiChadema na CCM wapo sawa kabisa, shida chadema wanaumia kukosa platform ya kula tu, ila ukiwapa sidhan kama watafanya tofaut na ccm ππππ₯
Waaminiwe, wapewe uongozi Ili kuthibitisha Hilo usemalo!!Chadema na CCM wapo sawa kabisa, shida chadema wanaumia kukosa platform ya kula tu, ila ukiwapa sidhan kama watafanya tofaut na ccm ππππ₯
Kwama CHADEMA mnataka kuikomboa Nchi?!Hata Nyerere alipokuwa anaikomboa Tanganyika kuna mamluki walimwita mjinga
una hoja duni sanaKwama CHADEMA mnataka kuikomboa Nchi?!
Mmeshindwa kujikomboa wenyewe kutoka kwa ' M/Kiti wa maisha' mtaweza kwa watanzania?!
Wekezeni kwenye Chama ndio mje kwa watanzania. Wengi wenu wachumia tumbo.una hoja duni sana
Karibu sana