FURSA nchini COMORO: Mfanya biashara, soma hapa

pasport ya kule haitokusaidia lolote njoo na mkwaju wa tz halafu unachukua ngalawa unenda kisiwa cha mayote unaenda kujiripua
 
na ukifika mayote ukifatana na albino mnapewa uraia wa france ujue tu vya kujieleza
 
na ukifika mayote ukifatana na albino mnapewa uraia wa france ujue tu vya kujieleza
Mkuu unatoa madini muhimu sana, naomba uelezee zaidi hii ya kufuatana na albino ikoje hii
 
wee hujui kua albino wananyanyaswa tz kwa kuuliwa kwa dhana za kishirikina sasa wee mdogo wako au kaka ako hata kama ni uongo unatambulisha hivyo hahahha
 
Ushauri mazuri
 
Ni
tahadhari kwa mwenye kwenda kufanya biashara comores
usije onja penzi la kingazija utapoteza mali yote hurudi na kitu tushawachangia watu nauli ya kurudi
Ni hatari hebu tudadavulie hapo? Nna jamaa yangu kaenda Comoro kuuza dawa za nguvu za kiume anasema kuna wateja sana coz wacomoro wanaoa wanawake wengi..Toka aondoke 2014 sijasikia tena kutoka kwake labda na yeye ametekwa na mwanamke wa kingazija
 
na ukifika mayote ukifatana na albino mnapewa uraia wa france ujue tu vya kujieleza
Naskia wacomoro wengi wanafia baharini wakivuka kuingia mayotte.
Tupe njia za kufika huko kuna warundi wanaishi Mayotte wakirudi huku huwa wanasema wametoka ulaya.
 
Mkuu Comoro unaishi wapi?
Mitsamihouli, Fomboni, Moheli, Anjuani Hahaya au wapi?
Na Vipi Mabawa na Shelisheli (Firyampia) ushayazoea Mkuu? Nilikua nayala ya 1,000/- yao nashiba kabisa,

Wasalimie Golden Tulip, pale Itsandra, last week walinipokea vizuri sana, nilikuja kukagua madhara ya Kimbunga hapo hotelini.
 
Safi sana naomba pia mnapoenda muitangaze asiliatz ni tovuti ya kuuza na kununua bidhaa,..

Tunapoelekea biashara inabidi kufanyika kidigitali.
 
Hivi gambe hawapigi? Sijawahi kusikia mtu anapeleka vyombe au ndio dini imeshika hatamu? Lakini kwa kuwa ni visiwa si kuna hotels na sehemu za bata angalau kwa wageni
 
Hivi gambe hawapigi? Sijawahi kusikia mtu anapeleka vyombe au ndio dini imeshika hatamu? Lakini kwa kuwa ni visiwa si kuna hotels na sehemu za bata angalau kwa wageni
Ni sawa na upeleke kitimoto na biblia kule maka au madina

Wale dini wapi ni washenzi zanzibar wana nafuu labda bhangi na sijui utaifikishaje , biashara nzuri ni ya chakula maana hawalimi kitu na vifaa vya ujenzi kama mabati, mbao n.k na maji safi pia,na unga ila hapo si sana maana ramadhani yenyewe ishakata unga wao ni uji tu Ugali hawali
 
keybod yangu ina tatizo ndio maana nimeshindwa kujibu
 
mkuu mimi naishi irohe ya oichili huko ndio kwetu ila biashara zangu zilikua moroni
 
tafadhali usitukane wacomoro huwajui kila sehemu kuna wabaya na wazuri
 
Naskia wacomoro wengi wanafia baharini wakivuka kuingia mayotte.
Tupe njia za kufika huko kuna warundi wanaishi Mayotte wakirudi huku huwa wanasema wametoka ulaya.
kuepuka ajali unatumia ngalawa isiyozidi watu 5 na pia kipindi cha upepo unatakiwa usiende
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…