MfalmewaKiha
JF-Expert Member
- Feb 16, 2017
- 1,191
- 1,240
Ndugu zangu poleni kwa majukum ya hapa na pale,
Naomba niende kwenye point Moja kwa moja
Ktk pita pita zangu za hapa na pale nilijikuta nikizunguka ndani ya mkoa wa Manyara,
Manyara ni moja ya mkoa uliopo Kati ya Singida na Arusha
Frusa zilizopo manyara ni km ifuatavyo
* Wilaya ya Babati mjini haina kituo chochote cha Radio
* Hakuna Usafiri wa Haice (dala dala) licha ya kwamba uhitaji upo
*Ni mji ambao hauna super market inayo onekana wala kufahamika hivyo watu wengi hufanya shopping Arusha
*Hakuna Show room ya Magari, japo wenyeji wake wanaweza kustahimili kununua magari, maana ni wakulima wazuri wa mazao ya kibiashara
*Nguo za mitumba ni Adim wilaya hii
*Mkoa huu Hauja pata wawekezaji wa Ving'amzi wengi wanajua Azam na Star times tu
* Mabinti ni wengi ila Harusi ni chache sana
Nitaendelea baadae endapo mtahitaji niendelee.
Naomba niende kwenye point Moja kwa moja
Ktk pita pita zangu za hapa na pale nilijikuta nikizunguka ndani ya mkoa wa Manyara,
Manyara ni moja ya mkoa uliopo Kati ya Singida na Arusha
Frusa zilizopo manyara ni km ifuatavyo
* Wilaya ya Babati mjini haina kituo chochote cha Radio
* Hakuna Usafiri wa Haice (dala dala) licha ya kwamba uhitaji upo
*Ni mji ambao hauna super market inayo onekana wala kufahamika hivyo watu wengi hufanya shopping Arusha
*Hakuna Show room ya Magari, japo wenyeji wake wanaweza kustahimili kununua magari, maana ni wakulima wazuri wa mazao ya kibiashara
*Nguo za mitumba ni Adim wilaya hii
*Mkoa huu Hauja pata wawekezaji wa Ving'amzi wengi wanajua Azam na Star times tu
* Mabinti ni wengi ila Harusi ni chache sana
Nitaendelea baadae endapo mtahitaji niendelee.