Fursa pekee zinazopatikana kwa mwalimu wa Tanzania

Fursa pekee zinazopatikana kwa mwalimu wa Tanzania

Kuwa mwalimu kijijini kuna faida kama utajiongeza. Kijijini ardhi ni kubwa, unaweza kupanga nyumba mwaka wa kwanza baada ya hapo unapata kiwanja na kujenga kibanda chako na kuachana kabisa na kulipa kodi.

Unapata shamba, hata ukitumia J’mosi tu kuwa shambani kama una vibarua unaweza kupata mavuno na ukaachana na kununua chakula.

Walimu wa kijijini wengi wana bodaboda na J’mosi huwa wanaendesha wenyewe, hii inakupa uhakika wa hela ya mboga kwa wiki nzima.
Bado maisha yanakuwa niyakuokotaokota tu nakuishi kwa kujibangaiza ila huwezi tanua Hennessy na jackdaniel pale kidimbwi kama wanavyotanua Akina mwijaku na baba Levo
 
Bado maisha yanakuwa niyakuokotaokota tu nakuishi kwa kujibangaiza ila huwezi tanua Hennessy na jackdaniel pale kidimbwi kama wanavyotanua Akina mwijaku na baba Levo
Lakini Mwijaku na Baba Levo hawana mafao ya kikokotoo 😂
 
Etii mafao ,,yaan unapewa 33%ya mafao yako halaf chenji zinazobaki wanaendelea kukulipa kidogokidogo
Hii kitu inauma sana. Namshukuru Mungu kunijalia niwe nafanya tu biashara zangu binafsi. Watumishi wanaonewa.
 
Zamani kikokotoo kilikuwaje?
Tatizo sio zamani tatizo kwann watumishi tusiokuwa wanasiasa tulipwe hivi wakati mbunge akimaliza maika yake ya ubunge anapewa Cash zake..
 
Tatizo sio zamani tatizo kwann watumishi tusiokuwa wanasiasa tulipwe hivi wakati mbunge akimaliza maika yake ya ubunge anapewa Cash zake..
Hakuna anayepewa cash zake tu.

Kokotoa Makato ya Lazima ya mshahara wako kwa miaka 30 uone kama yatafika hata Milioni 50
 
Ajira siyo sehem ya kupatia utajiri ni sehem ya kutafutia mtaji hata ukifanikiwa kujenga tu kupitia ajira huo ni mtaji usilale tumia hiyo ngazi ya kutokulipa kodi kama sehem ya kujaribu biashara zingine ukifanikiwa wekeza, ukifilisika jipange uanze upya angalau hautaanguka sana utakua na sehem ya kulala jiripue tu Mara kwa mara Kuna sehem utatoboe huwezi kuanguka Mara zote
 
Wakuu mm naomba niwaswalike hivi ukipata ela kiasi gani unaweza kuacha kazi ya kuajiriwa?
 
Hii kitu inauma sana. Namshukuru Mungu kunijalia niwe nafanya tu biashara zangu binafsi. Watumishi wanaonewa.
Utumishi mgumu Sana labda hasa watumishi wa ngazi kawaida ..Sheria za nchi hii bhana Zina double standard...mwanasiasa anampangia sheria mtumishi wa umma na kumuwekea sheria nyonyoji wakat yeye anakula Bata
 
ningekuwa mwalimu nisingekuwa mjini,ningeenda vijijini kwenye mashamba yenye rutuba. Mali ningeipata shambani
 
Wakuu mm naomba niwaswalike hivi ukipata ela kiasi gani unaweza kuacha kazi ya kuajiriwa?
you think on the myth that All entreprenuer need is money. Kitakachokuachisha kazi sio kiasi gani cha pesa bali business plan ya ukweli na uhakika
 
Wakuu mm naomba niwaswalike hivi ukipata ela kiasi gani unaweza kuacha kazi ya kuajiriwa?
Kuna wengine waliacha kazi wakat hawana hela ...na Kuna wengine waliacha wakiwa na kianzio Cha msingi ujue tu kwamba unaacha ukiwa na strategic plans
 
Kuna walimu wanajishgulisha haswa, kwenye ufugaji, kilimo na mambo mengine na wapo vizuri...
 
Nachukia sana mada za kitoto kama hizi !!! Kama wenyewe wameridhika wewe kinakuwasha nn!?? Mbona mm nawaona walimu wana. Mijengo ,biashara,na hata kisomeshha watoto wao English median tena na ghali sana kuliko hata watu was kada nyingine tunaojiona tunapiga pesa!??? Niambie ni kada gani nyingine serikalini INA fursa za utajiri!??
Aliyekwamba necta watu wanaenda kwa mchongo nani!??? Unaweza kuthibitisha hill!??? Ndugu acha kuropoka ni hatari!!!wewe subiri kazi. Za maslahi zinakuja
Kuna watu sio waaminifu NECTA kabla ya majina kuteuliwa kuna walimu wanapenyezewa taarifa kituo anachoenda kusahihisha, unabaki unashangaa labda kama wamebadilisha kiongozi wao mambo yanaweza badilika
 
Back
Top Bottom